Wewe shida yako ni udini.
Sharti la elimu unasemaje lililenga kuwatoa Waislam?
Kwani Waislam hawapendi elimu?
Kubali kuwa hao wazee wako walizidiwa akili na Nyerere, ndo maana historia ya Nyerere inapewa kipaumbele kikubwa kuliko historia ya hao wazee wako wa Kiislam.
Hata wao wenyewe hao...
Kikubwa mnachotakiwa kujifunza ni kwamba ujasiri ni mali. Ndo maana kuna neno linaitwa Mjasiriamali. Yaani ujasiri ni mali.
Na mtaji wa kwanza wa binadamu ni maneno yake. Ukiwa na ujasiri wa kuongea, hautakosa watu wa kukusikiliza unachoongea. Na ukishapata watu wa kukusikiliza, hautakosa...
Tshs. 350,000/- kwa mwezi.
Huo ni mshahara tu, nje ya posho za vikao. Mishahara yao toka Mama Samia alipochukua nchi wanalipwa moja kwa moja na Hazina. Ila posho za vikao ndo wanalipwa na Halmashauri zao.
Kabla ya Mama Samia mishahara walikuwa wanalipwa na Halmashauri na ilikuwa ni Tshs...
Kama bado tu hujajua ni kwamba dini zote ni utapeli. Hakuna dini ya ukweli kwa sababu hakuna ukweli katika dini. Na hakuna Mungu.
Sasa we endelea kusema "Hawa ni waongo" na "Hawa ndo wakweli" wenzako hawajali wanagawana tu sadaka unazotoa. Wanajua hakuna dini au dhehebu litakalokusanya watu...
Wewe ni kwamba ulisoma ila hukuelimika.
Mwalimu wa kwanza wa mtoto ni mzazi. Ukishajijua wewe ndo mwalimu wa kwanza basi mwanao mpeleke shule yoyote ile ya serikali ya elimu bure atakuwa ni kichwa tu.
Lakini upande wa pili ni jinsia yako. Je wewe ni mwanaume au mwanamke? Wanawake wengi wana...
Uwakilishi wa wakili unaruhusiwa hata kwenye vyombo vya kusikiliza na kuamua malalamiko vilivyoko nje ya Mhimili wa Mahakama. Sio mpaka iwe Mahakamani tu ndo aende wakili.
Huo ni uongo.
Waliong'oa viti ni mashabiki wa Simba na wakawarushia maafisa na wachezaji wa Sfaxien kama kisasi kwa fujo walizofanya Sfaxien.
Video hizi hapa
https://youtu.be/zCCoWFJGScU
https://www.youtube.com/watch?v=pbCWbl3c4zc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.