comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Kumekua na uanzishwaji wa taasisi mbalimbali za dini ambazo lengo lao limekua la awali lilikua kusamabaza neno la Mungu kwa ustaarabu bila mhemko sasa wamekwenda mbali zaidi na kuanza kuingilia siasa na kuchanganya na imani zisizofaa,taasisi kama FGBF la Askofu Zacharia Kakobe, Kanisa la Uzima na Ufufuo la Askofu Gwajima, kanisa la mtume Mwingira, kanisa la mtume Nabii 'Bulldozer ,'Kanisa la Anthony lusekelo, taasisi ya kiislamu ya Uamsho, Wajahidina na Answar sunna na taasisi ya African Muslim Agency hapa nchini Tanzania Muslim Agency