Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
hii nimeipendaNdodi ni mwizi wa kutupa, ukiona mwanaume anaongea maneno mia tatu kwa sekunde moja ujue kuna kasoro. Kila kitu anakijua yeye ni nani? hivi jamani hawa watu wanakuja kwa gear hizo basi tufunge mahospitali au hatuna haja ya kuwa na madactari bingwa. Ndodi nafikiri kitu asichokiweza ni Operation vilivyosalia vyote yeye anajua.
Mungu tunusuru, hawa vibaka wanaokuja kwa njia hiyo wakomeshwe, wanatupeleka kusiko.
Asante sana kwa kutuzindua mzee. Huyo sasa hivi atachekea TRA we ngoja.