Kuna jamaa anaitwa Vitu's juma uyu jamaa anaandikia gazeti la dira ya mtanzania (makala) anajitambulisha kama mwanafunzi wa chuo cha Saut mbeya nampa hongera sana .
Kwanza na penda kukiri kuwa tangu awali sikuipenda ile tabia ya UKAWA kususia bunge, sikuipenda kwasababu naelewa fika kuwa style ya upinzani kususia jambo lolote lile haijawahi kuzaa matunda kwa wananchi na Taifa labda kwa wauza magazeti.
Rejea ya bunge la katiba na lile la Maalim Seif kule...
Kwa mara ya kwanza leo najitokeza hapa mbele kuipongeza ccm kwa kazi nzuri wanayofanya kukandamiza democracy za watu wanaohubiri democracy kinafiki. Nawashauri ccm wa endelea hivyo hivyo kule zanzibar, wa endelea hivyo hivyo pale dar kwenye umeya mpaka pale hawa watu watakapojifunza democracy ya...
Ndugu Zitto kabwe kiongozi mkuu wa chama Act wazalendo, najitokeza baradhani kukupa pongezi kubwa za ushindi katika jimbo lako la kigoma mjini licha ya kwamba mlisimamisha wagombea wengi mno lakini ukashinda peke yako bado ni ushindi mkubwa kwasababu chama kilianza hakikuwa na mda mrefu na wewe...
Mpaka leo najiuliza sipati jibu nini lengo kubwa la makanisa kualika viongozi wa kisiasa katika hafla zao, Je, huwaalika kama sehemu ya wao kupatia jukwaa la kuhutubia na kupatia umaarufu? Na kumbuka kilichotokea vunjo kwenye mualiko wa Mbatia na Mlema ule mualiko haukufanywa kwa bahati mbaya...
Kenya ndo nchi pekee Afrika mashariki inayoishi kinafiki na tz, nakiri kuwa kwa tz rafiki no 1 nikenya lakin kwa kenya adui no 1 ni Taifa letu.
Kenya wanatudharau nakuamua lolote tena kwa makusudi kabisa nadhani Alshabab hawajawafundisha jinsi ya kuishi vizur na majirani zao na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.