Hongera Vitu's juma

Hongera Vitu's juma

Mwana-G

Member
Joined
Jan 9, 2016
Posts
45
Reaction score
15
Kuna jamaa anaitwa Vitu's juma uyu jamaa anaandikia gazeti la dira ya mtanzania (makala) anajitambulisha kama mwanafunzi wa chuo cha Saut mbeya nampa hongera sana .
 
hongra ya nini?unaji kick .

swissme
 
Kuna jamaa anaitwa Vitu's juma uyu jamaa anaandikia gazeti la dira ya mtanzania (makala) anajitambulisha kama mwanafunzi wa chuo cha Saut mbeya nampa hongera sana .
HABARI YAKO HAIJAKAMILIKA ULIKUWA NA HARAKA YA NINI?
 
Duh! Sasa hiyo hongera unampa hapa ili iwe nini? Waombe hao Dira namba yake ya simu umpigie
 
Back
Top Bottom