Husika 'na kichwa cha habari hapo juu
Mimi ni kijana mwenye umri 30 'niliekua na malengo na mipango mbalimbali 'katika maisha moja katika ayo ' ni kuwa na mjengo ili nimefanikisha kwa 70%.
lakini sasa hadi hapa nilipofikia sidhani kama yataendelea na nitafanikisha au kuendeleza palipo baki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.