Mjue Ratan Tata tajiri asiye tajwa na Forbes

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
MJUE MTU ANAEINGIZA PESA NYINGI DUNIANI LAKINI HAJAWAHI KUTAJWA KAMA TAJIRI.

Jarida la Forbes limekuwa likiwataja watu kama Jeff Berzon, Billgates, Mark na wengineni,
Lakini kuna mtu anajulikana kama Ratan Tata, mwenyekiti na mrithi wa Tata enterprise yenye kumiliki zaidi ya makampuni makubwa 90 duniani.

Huyu ndiye binadamu anayeingiza pesa nyingi kuliko wote duniani.

Kati ya makampuni anayomiliki ni Tata motors, Tata steel, Tata Chemicals, Tata Consultance, Tata engineering, Tata, Tata beverages, Tata power e.t.c.

Ndani ya India katika kila makampuni matano makubwa, 4 lazima yawe na mkono wa Tata.

Yeye ameingiza kipato cha (USD) $130 billions, lakini kwanini hatajwi kama tajiri namba moja duniani?

Ni kwamba kampuni zake za Tata, zinatoa 65% ya mapato yake kwa shughuli za kijamii kama kuhudumia watoto yatima, afya, michezo nakadhalika.

Hivyo mapato yanayo orodheshwa chini yake si zaidi ya 1$ billions USD.

Na siyo kwamba anatoa hiyo hela India tu, hapana anaitoa worldwide.

Aliwahi toa msaada wa USD 50 milion kwa chuo cha Harvard kitengo cha biashara (Harvard Business School).

Ni msaada mkubwa kuliko yote uliowahi kutolewa na mfadhili yeyote wa kimataifa kwa chuo hicho.

Hivi mnajua kama Tata motors alinunua kampuni ya magari ya Uingereza inayotengeneza magari ya Range rover mwaka 2015.

Huyo ndo Tajiri Ratan Tata.

FB_IMG_16073500982638218.jpg
FB_IMG_16073501017166623.jpg

Na Emmanuel Kasomi
 
Unakwama sana mzazi..

Forbes hadi uwaite wakufanyie tathmini and btw hao unaowasikia ni peanut ya matajir wa dunia..

Kuna wauza unga na silaha na wenye federal reserve bank... kina Murdoch
Kuna wenye research companies na pharmaceuticals industries.. hao hutowasikia..

We utawajua kina mo na vimbelembele wengine tu
Make your money bro
 
Unakwama sana mzazi..

Forbes hadi uwaite wakufanyie tathmini and btw hao unaowasikia ni peanut ya matajir wa dunia..
Kuna wauza unga na silaha na wenye federal reserve bank... kina Murdoch
Kuna wenye research companies na pharmaceuticals industries.. hao hutowasikia..
We utawajua kina mo na vimbelembele wengine tu
Make your money bro
Dah..nisamehe kwa niaba mkuu!!.ila ushauri wako nitaufanyia kazi.😂😂😂
Et make ur money bro!!😆😆😆😆
 
Unakwama sana mzazi..

Forbes hadi uwaite wakufanyie tathmini and btw hao unaowasikia ni peanut ya matajir wa dunia..
Kuna wauza unga na silaha na wenye federal reserve bank... kina Murdoch
Kuna wenye research companies na pharmaceuticals industries.. hao hutowasikia..
We utawajua kina mo na vimbelembele wengine tu
Make your money bro
Yeah true Rothschild family kwa mfano hao ndio wanacontrol mifumo yote ya finance duniani...
lkn pia kuna Walton family inasemekana jamaa wanamiliki ukwasi wa dola bilioni 215....
 
MJUE MTU ANAEINGIZA PESA NYINGI DUNIANI LAKINI HAJAWAHI KUTAJWA KAMA TAJIRI.


Jarida la Forbes limekua likiwataja watu kama Jeff berzon, billgates,mark na wengineni,
Lakini kuna mtu anajulikana kama Ratan Tata, mwenyekiti na mrithi wa Tata enterprise yenye kumiliki zaidi ya makampuni makubwa 90 duniani.


Huyu ndiye binadamu anayeingiza pesa nyingi kuliko wote duniani.


Kati ya makampuni anayomiliki ni Tata motors, Tata steel, Tata Chemicals, Tata Consultance, Tata engineering, Tata, Tata beverages, Tata power e.t.c.


Ndani ya India katika kila makampuni matano makubwa, 4 lazima yawe na mkono wa Tata.


Yeye ameingiza kipata cha (usd) $130 billions, lakini kwanini hatajwi kama tajiri namba moja duniani?


Ni kwamba kampuni zake za Tata, zinatoa 65% ya mapato yake kwa shughuli za kijamii kama kuhudumia watoto yatima, afya, michezo nakadhalika.


Hivyo mapato yanayo orodheshwa chini yake si zaidi ya 1$ billions USD.


Na siyo kwamba anatoa hiyo hela India tu, hapana anaitoa worldwide.


Aliwahi toa msaada wa USD 50 milion kwa chuo cha Harvard kitengo cha biashara (harvard business school).


Ni msaada mkubwa kuliko yote uliowahi kutolewa na mfadhili yoyote wa kimataifa kwa chuo hicho.


Hivi mnajua kama Tata motors alinunua kampuni ya magari ya Uingereza inayotengeneza magari ya Range rover mwaka 2015.
Huyo ndo Tajiri Ratan Tata.

View attachment 1644002View attachment 1644001
Na Emmanuel Kasomi
Ko huyu n Alikiba aliyechangamka et??😆😆 na akina Jeff ni akina mondi wachangamfu🤣🤣🤣 kupenda kujionyesha na kutojionyesha, ndo nilichomanisha hapa😷
 
Kuchapishwa na Forbes unalipia, ama wewe mwenyewe au waliopendekeza hilo wazo. Sasa kuongelewa humo sijui ni mbinu ya kibiashara ama ni kujionesha, ni uamuzi wa mhusika.
 
😀😀
Unakwama sana mzazi..

Forbes hadi uwaite wakufanyie tathmini and btw hao unaowasikia ni peanut ya matajir wa dunia..
Kuna wauza unga na silaha na wenye federal reserve bank... kina Murdoch
Kuna wenye research companies na pharmaceuticals industries.. hao hutowasikia..
We utawajua kina mo na vimbelembele wengine tu
Make your money bro
 
Wengine
Kuchapishwa na Forbes unalipia, ama wewe mwenyewe au waliopendekeza hilo wazo. Sasa kuongelewa humo sijui ni mbinu ya kibiashara ama ni kujionesha, ni uamuzi wa mhusika.
Huwa wanahonga kama Trump ana hiyo skendo ya kudanganya wingi wakipato chake ili aweze kuchapishwa na Forbes pia Kyle jener nae anahiyo skendo ya udanganyifu ... Wengi wanafanya hivyo ili kujiongezea uthamani wa brand zao na kupata connection mbali mbali duniani
 
Wengine

Huwa wanahonga kama Trump ana hiyo skendo ya kudanganya wingi wakipato chake ili aweze kuchapishwa na Forbes pia Kyle jener nae anahiyo skendo ya udanganyifu ... Wengi wanafanya hivyo ili kujiongezea uthamani wa brand zao na kupata connection mbali mbali duniani

Kweli aisee Trump anapenda kuvimba wkt hana pesa hio.

Mo nae anapandaga kujiweka kimbelembele sana kwny hilo gazeti kwa maslahi ya kupata connections.

Reg. Mengi aliwahi kuulizwa khs taarifa za utajiri wake zilizoandikwa na Forbes,akajibu kwamba yeye hawezi kuamini taarifa ya gazeti hilo ambalo limedanganya hata khs mwaka wake wa kuzaliwa/umri wake,so haamini info za forbes zozote zile.
 
Niliwah kusoma sehem kuwa hata putin ana chenji ndefu kuliko kina jeff na bill gate
 
Niliwah kusoma sehem kuwa hata putin ana chenji ndefu kuliko kina jeff na bill gate
Hata Gadaf alikuwa na hela ndefu...wanasiasa huwa hawaweki taarifa zao za biashara hadharani..hivyo political figure inajulikana hela zao ni udukuzi wa walipa kodi
 
Kweli aisee Trump anapenda kuvimba wkt hana pesa hio.

Mo nae anapandaga kujiweka kimbelembele sana kwny hilo gazeti kwa maslahi ya kupata connections.

Reg. Mengi aliwahi kuulizwa khs taarifa za utajiri wake zilizoandikwa na Forbes,akajibu kwamba yeye hawezi kuamini taarifa ya gazeti hilo ambalo limedanganya hata khs mwaka wake wa kuzaliwa/umri wake,so haamini info za forbes zozote zile.
😁😁😁 Mengi alitisha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom