ZOPPA
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 2,751
- 2,926
Habari zenu wana jamvi poleni na miangaiko ya kila siku s niende kwenye moja kwa moja
Nimekua muhanga wa ngozi kusinyaa na kupoteza mvuto yaani inapauka pauka kama kipindi cha balidi kipupwe sasa imekua to mach adi naogopa na sijui husababiswa na mini wenye ujuzi na wataalam was ngozi naomben msaad a dawa ya kutumia au tiba ya ngozi msaada wenu unaitajika
Nimekua muhanga wa ngozi kusinyaa na kupoteza mvuto yaani inapauka pauka kama kipindi cha balidi kipupwe sasa imekua to mach adi naogopa na sijui husababiswa na mini wenye ujuzi na wataalam was ngozi naomben msaad a dawa ya kutumia au tiba ya ngozi msaada wenu unaitajika