Msaada wa kisheria kwa Mfanyakazi aliyepunguzwa kazi

maruudaniel

JF-Expert Member
Dec 19, 2020
888
1,067
Nimepitia mengi magumu mpaka napunguzwa kazi.

Naenda moja kwa moja ktk mada. Nilikuwa nimeajiriwa katika Tasisiflani ambayo ipo Dunia nzima.

Mwisho wangu wa kufanyakazi ilikuwa ni wiki hii ambayo ni jana. Katika kufanya kazi ktk hii tasisi nimekuwa na madai ya muda mrefu sana kwa madai yenyewe ni kama haya :-

Niliwahi kubadilisha daraja kupitia Meneja na baada kunisaini documents za kunibadilisha Daraja nilichukua muda bila ya kupata barua na mabadiliko ya Mshahara baada kufuatilia bila majibu kwa njia ya kuongea na kuandikiana Email.

Ilinibidi niende hatua nyingine kwa Bosi wake huyu Bosi aliniahi kunifanyia mabadiliko ya Mshahara pia nako niliendelea kufuatilia kwa kuongea na kuandika Email mara nyingi sana bila majibu kama sheria tasisi inavyosema email ndio kila kitu ktk maamuzi.

Lilivyoendelea kuchukua muda zaidi lilipekea kufika kwa Head of Hr na baada kufika huko Bosi aliitwa pasipo mm kuwepo ktk hicho kikao lakini Head of HR aliniandikia Email ya kuwa swala langu analifanyiakazi na baada ya muda kidogo na Bosi wangu naye aliniandikia Email akiniambia niache kumwandikia email kwani swala liko kwa Head of Hr kwa hiyo kuanzia hapo nikawa natuma Email kwa Head Hr kwa ajili ya kuulizia.

Ilipita kama miezi mitatu alinifuata Bosi wangu kwa akiwa new Job Description ili niisaini nilimkatalia kuisaini kumwambia siwezi kuisaini kwani madai yangu ya mwanzo hayaja fanyiwa kazi.

Na kama unataka nisaini nitumie kwa Email kama ilivyokawaida ili nimuulize Head of H juu hili yaani niisaini au la.

Baada kuona vile hakuwa na la kufanya zaidi aliacha hilo swala.Nilikaa tena kwa muda mrefu kidogo alinifuata tena na kuniambia kama hutosaini hii leo naomba kesho usije huku kazi kwani nilimjibu sawa na muda wa kuondoka nilimuuliza kesho Head ofisi niende kwa nani hiyo kesho alinijibu ya kuwa hakuna haja ya kwenda tena kwani haina haja tena.

Muda ukaenda hata head HR
aye hakunipa majibu ya madai mpaka akaondoka kwenda ktk Tasisi nyingine bila kufanyia kazi madai yangu.

Ndo akaja mwingine kwa ajili ya kushikilia hiyo nafasi kwa muda ila niliambiwa hili swala alilizungumzia yy na bosi wa bosi wangu ila sikuelezwa kiundani walichokizungumza.

Baada ya muda Job Description nilikuja kuisaini baada mfanyakazi mwenzangu alihamishwa kitengo kingine baada na yy kufanyiwa uonevu na huyu bosi HR ikabidi ingilie kati baada ya kuona ameshaanza kwenda ktk vyombo vya sheria ikawabidi wamwombe.

Kwa hiyo nafasi kazi yake nilianza kuzifanya baada ya kufanya kwa muda sikuona mabadiliko ya Mshahara vile niliendelea kufuatilia pasipo majibu sio kuonge wala kwa Email.

Kilichofuata aliendelea kuni reti vibaya na malalamiko ya madai ya mwanzo na haya ya mwisho niliendelea kufuatilia pasipo majibu.
Baada majadiliano kuwa marefu kwa njia ya simu na email, Mtu HR aliyekuwa katika huo mjadala aliingilia kati hili swala na kuomba kuanda kikao na Head HR mpya hiki kikao nilijitajidi kukumbushia ya kuwa kitafanyika lini lakini sikujibiwa muda mrefu baada wa muda wa miezi mitano hivi nipo ktk kikao cha kujadili maendeleo ya utendaji kazi wa mwaka huu mwezi November nilimuuliza tena bosi juu ya madai yangu alinijibu bado yanafanyiwa kazi nikamwambia hili swala naomba mlichukulie kwa uzito kwani linaniumiza hata kuumwa kwangu linachangia pamoja tatizo la kuumwa kwangu lilitokana Mazingira niliyokuwa nafanyia kazi kwa muda mrefu.

Kesho yake kama saa tatu Bosi wangu alinitumiea Email ya kuwa leo kuna kikao na Head HR saa nane na muda ulipofika gari ilifika kutuchukua na kuelekea kwenye kikao Mjini Posta.

Tuliwasili ktk kikao Head of HR alimwambia Bosi wangu anaweza kuanza ilinibidi niwaombe kujua kikao kinahusu nini.
Nilijibiwa na Bosi wangu kinahusu kupunguzwa kazi.

Bosi aliongea kwa majadiliano ya muda kunielezea kile Tasisi itanilipa kwa ajili kuondoka na akamaliza nikatakiwa Mimi kuongea kuhusu haya maamuzi.

Niliwauliza kama natolewa natolewa kwa Mshahara huu ninaolipwa sasa au nitalipwa kwa Mshahara wa Mdai yangu ya siku nyingi.

Head of HR alinijibu yakuwa yeye hayajui madai yangu kwa hiyo aniomba kama nina madai niyawasilishe kwa wahusika huko nje ya nchi wakayafanyie kazi.

Nilipotoka pale ikanibidi nikazipitie Email kama huyu Bosi Hr hakuwa amekopiwa na baada kujiridhisha muda kazi uliisha niliondoka ili kesho yake nijeniandike hiyo Email ya madai huko nje kwani nilitakiwa niiandike kabla mwezi mmoja niliopewa.

Lakini cha ajabu nilipotoka pale nilienda kupata ajili ya kugongwa na Pikipiki na Kuvunjika na majeraha mengine mengi na POPII nililiondolewa wiki mbili zilizopita. Kwa hiyo mpaka narudi ofisini ule muda wa kuandika Email ulishapita.

Hii ni part 1 itaendelea baadaye.

Asante sana.
 
Weka haki zako za kimkataba tujue nini unastahii na nini kimekiukwa kutokana na mkataba wako. Kwa ushauri waone ofisi za kazi watakusaidia
 
Mkuu,

Kuna kudai haki yako na kuwa mbishi, we dai haki yako lakn usiwe mbishi mbishi kila Jambo, mengi hayako straightforward.

Sasa hapa sijaelewa madai yako.
1. Kupunguzwa kazi kusiko halali?
2. Stahiki ulizopewa si Sawa?

Kwa ulivyoandika hapo, kupunguzwa kazi siyo halali, kwani huwez ukaitwa na kuambiwa kuwa unapunguzwa kazi hapo hapo. Kuna utaratibu wa kupunguza wafanyakazi, ni process. Kasome sheria ya ajira na mahusiano kazini, wewe mwenyewe tuu utaelewa.

Lakin Kwa sasa weka ushahidi mapema, print hizo emails, kabla hujanyimwa access ya kuingia. Kusanya kila aina ya communication uliyofanya na boss wako, HR, kuanzia kudai maslahi mpaka kupunguzwa.

Hivi vitu huwezi kuvifanya mwenyewe ukatoboa, utajikuta unahangaika na hutoboi, tafuta mwanasheria unayemwamini, mwelezee scenarios zote, atakushauri muanzie wapi, case ni ipi...

Kuna vingi tunaona ni haki yetu, lakn mbele ya macho ya sheria si haki..
 
Mkuu,

Kuna kudai haki yako na kuwa mbishi, we dai haki yako lakn usiwe mbishi mbishi kila Jambo, mengi hayako straightforward..
Mku nakushukuru sana kwani namba 1 na 2 ulichokiainisha ni sahihi kabisa.

Convasation ya Redandancy niliitwa siku moja na kuambiwa kazi yangu ipo kwenye risk. Mm hicho kikao nilijua ni cha kuzungumzia yale madai yangu ambapo nilihaidiwa kuwepo kikao hicho.
 
Naomba kuchangia kidogo kama ifuatavyo

Kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 Kifungu cha 9 ibara ndogo ya 4 inaonyesha sababu halali za kuweza kuachishwa kazi kama ifuatavyo 1 mwenendo 2 uwezo 3 kutohitajika 4 uendeshaji lakini kitu cha muhimu hapa Muajiri anatakiwa kufuata utaratibu halali wa kila sababu iliyoanishwa hapo

sasa mtoa mada ameondolewa kwa kwa kitu tunaita MAHITAJI YA UENDESHAJI/ Retrenchment au OPERATION REQUIREMENT inayopatikana kifungu cha 23 Kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 sasa utaratibu ni upi sahihi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini kifungu mwaka 2004 kifungu cha 38 kinaweka wazi utaratibu

1. Majadiliano 2. kutoa notisi 3. utaratibu wa kupunguza wafanyakazi hapa inatumikaga LIFO/FIFO 4. muda yani zoezi litaanza lini 5. stahiki unazostahili kulipwa



Mtoa mada unastahili kulipwa yafuatayo kwa mujibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 44 kama ifuatavyo

1. mshahara wa siku ulizofanya kazi
2. likizo
3. Notisi
4. Kiinua mgongo
5 Cheti cha utumishi

Ninachokiona hapo kwa jicho la 3 lakini kimefanyika kitu fulani hivi tunaita technical retrenchment yani hii mbinu inatumika sana kupunguza wafanyakazi wenye kudai sana haki na wale waanzisha migomo kwa macho ya sheria hawana kosa kabisa maana wanachofanya wanafata taratibu zote za kupunguza watu kazini kisheria ila sasa nani atapunguzwa ndo hapo sasa

Hata mkienda CMA kudai hayo madai ya awali Mediator/Abritator ataamua hayo madai yapo nje ya muda hivyo ataangalia tu hili jambo la sasa na madai yakiwa nje ya muda utatakiwa kutafuta kiapo kutoka kwa mwanasheria na notice of application ili kueleza sababu ya kuwa nje ya muda na uthibitsho ili shauri lisikilizwe

Kitu kingine ambacho kinaweza kikaja kukushangaza ulisema ulitakiwa upewe nyongeza ya mshahara hivyo hata mkienda itakuaje muajiri akikiri kosa na kukulipa kwa mshara wa ongezeko kwa kuongeza elfu 40 au hata 50

Mwisho kabisa napenda wachangiaji wengine waje na mawazo mengine
 
Sina kazi sasaivi, ila ningeipata iyo kazi yako ningeifanya kwa kutulia sana aiseee
 
Naomba kuchangia kidogo kama ifuatavyo

Kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 Kifungu cha 9 ibara ndogo ya 4 inaonyesha sababu halali za kuweza kuachishwa kazi kama ifuatavyo 1 mwenendo 2 uwezo 3 kutohitajika 4 uendeshaji lakini kitu cha muhimu hapa Muajiri anatakiwa kufuata utaratibu halali wa kila sababu iliyoanishwa hapo

sasa mtoa mada ameondolewa kwa kwa kitu tunaita MAHITAJI YA UENDESHAJI/ Retrenchment au OPERATION REQUIREMENT inayopatikana kifungu cha 23 Kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 sasa utaratibu ni upi sahihi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini kifungu mwaka 2004 kifungu cha 38 kinaweka wazi utaratibu

1. Majadiliano 2. kutoa notisi 3. utaratibu wa kupunguza wafanyakazi hapa inatumikaga LIFO/FIFO 4. muda yani zoezi litaanza lini 5. stahiki unazostahili kulipwa



Mtoa mada unastahili kulipwa yafuatayo kwa mujibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 44 kama ifuatavyo

1. mshahara wa siku ulizofanya kazi
2. likizo
3. Notisi
4. Kiinua mgongo
5 Cheti cha utumishi

Ninachokiona hapo kwa jicho la 3 lakini kimefanyika kitu fulani hivi tunaita technical retrenchment yani hii mbinu inatumika sana kupunguza wafanyakazi wenye kudai sana haki na wale waanzisha migomo kwa macho ya sheria hawana kosa kabisa maana wanachofanya wanafata taratibu zote za kupunguza watu kazini kisheria ila sasa nani atapunguzwa ndo hapo sasa

Hata mkienda CMA kudai hayo madai ya awali Mediator/Abritator ataamua hayo madai yapo nje ya muda hivyo ataangalia tu hili jambo la sasa na madai yakiwa nje ya muda utatakiwa kutafuta kiapo kutoka kwa mwanasheria na notice of application ili kueleza sababu ya kuwa nje ya muda na uthibitsho ili shauri lisikilizwe

Kitu kingine ambacho kinaweza kikaja kukushangaza ulisema ulitakiwa upewe nyongeza ya mshahara hivyo hata mkienda itakuaje muajiri akikiri kosa na kukulipa kwa mshara wa ongezeko kwa kuongeza elfu 40 au hata 50

Mwisho kabisa napenda wachangiaji wengine waje na mawazo mengine
Mku na shukuru sana.
CMA nashukuru mambo yanaendelea vizuri .
Asanteni sana kwa ushauri mzuri
 
Naomba kuchangia kidogo kama ifuatavyo

Kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 Kifungu cha 9 ibara ndogo ya 4 inaonyesha sababu halali za kuweza kuachishwa kazi kama ifuatavyo 1 mwenendo 2 uwezo 3 kutohitajika 4 uendeshaji lakini kitu cha muhimu hapa Muajiri anatakiwa kufuata utaratibu halali wa kila sababu iliyoanishwa hapo

sasa mtoa mada ameondolewa kwa kwa kitu tunaita MAHITAJI YA UENDESHAJI/ Retrenchment au OPERATION REQUIREMENT inayopatikana kifungu cha 23 Kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 sasa utaratibu ni upi sahihi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini kifungu mwaka 2004 kifungu cha 38 kinaweka wazi utaratibu

1. Majadiliano 2. kutoa notisi 3. utaratibu wa kupunguza wafanyakazi hapa inatumikaga LIFO/FIFO 4. muda yani zoezi litaanza lini 5. stahiki unazostahili kulipwa



Mtoa mada unastahili kulipwa yafuatayo kwa mujibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 44 kama ifuatavyo

1. mshahara wa siku ulizofanya kazi
2. likizo
3. Notisi
4. Kiinua mgongo
5 Cheti cha utumishi

Ninachokiona hapo kwa jicho la 3 lakini kimefanyika kitu fulani hivi tunaita technical retrenchment yani hii mbinu inatumika sana kupunguza wafanyakazi wenye kudai sana haki na wale waanzisha migomo kwa macho ya sheria hawana kosa kabisa maana wanachofanya wanafata taratibu zote za kupunguza watu kazini kisheria ila sasa nani atapunguzwa ndo hapo sasa

Hata mkienda CMA kudai hayo madai ya awali Mediator/Abritator ataamua hayo madai yapo nje ya muda hivyo ataangalia tu hili jambo la sasa na madai yakiwa nje ya muda utatakiwa kutafuta kiapo kutoka kwa mwanasheria na notice of application ili kueleza sababu ya kuwa nje ya muda na uthibitsho ili shauri lisikilizwe

Kitu kingine ambacho kinaweza kikaja kukushangaza ulisema ulitakiwa upewe nyongeza ya mshahara hivyo hata mkienda itakuaje muajiri akikiri kosa na kukulipa kwa mshara wa ongezeko kwa kuongeza elfu 40 au hata 50

Mwisho kabisa napenda wachangiaji wengine waje na mawazo mengine
Mkuu kiinua mgongo siku hizi hakuna tena...Nenda kapitie ammended act ya mwaka 2019.
 
Back
Top Bottom