Binafsi naona kama wamefahamu makosa yaliyokuwa yamewakabiri basi wasamehewe kwani nia si kuwafukuza chamani no! Ila ni kutaka kuondoa mamluki na wasaliti ktk hizi harakati zetu kwani kinachomsumbua ZITTO ni ubinafsi tu na kujiona ni nyota. Kumbe bado safari ni ndefu katika kuupata uhuru wa...
Tuko pamoja katibu mkuu wetu waTz tuko pamoja nawe popote uwe ktk milima,mabonde,mapori,misitu, na nyikani uhuru wa kweli haupatikani kiurahisi. Usirudi nyuma kwa hizi mbinu za hawa wakoloni weusi
Tuko pamoja mwana mi hapa nagaragara tu kwa sababu ya hiyo.najiuliza kama Goba kuna joto je huko Sinza,kwa Tumbo na Keko Inakuaje poleni sana ndugu zangu
Kuna prof mmoja wa muhimbili anafanyia kazi maeneo ya upanga ni mzuri kwa tatizo hilo shuka Palm beach kisha uliza kwa prof Kiasi utaelekezwa. Pole sana na usikate tamaa kwani ni wengi wapo kama wewe
Naungana na wewe mtu wangu kwani nami ni miongoni mwa vijana ambao tunataka mabadiliko lakini sipo chama chochote cha siasa wakati ndio huu mkuu kwani chadema ni mpango wa mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.