Kwa style hii folen haiwezi kuisha dar

Wazo zuri aiseee ila inabidi tuangalie pia mda wa kutoka kazini kwani naisi kama mama atachelewa kutoka kazini so wakimngojea watasubiria sana. Foleni za hapa Dar tujenge fly over TAZARA , UBUNGO, KARUME, AKIBA etc TANROAD MKOA uarakishe uwekwaji wa lami katika barabara za kinyerezi-malamba mawili-mbezi na pia mbezi-goba-tegeta hii pia itapunguza foleni asa Morogoro road.

wazo zuri dogo ila Magufuli kila akiambiwa anasema ujiko atapata mwingine. kwake yeye foleni dili
 
...serikali ikihamia Dodoma foleni itakuwa ni historia D'Salaam.
Kwa hiyo Dodoma kwenyewe ndiko wanakohitaji foleni? Dawa ya foleni ni kuimarisha miundombinu yetu ya barabara.Mfano barabara zote za mitaani (feeder road)ziwe na rami pia kuwepo na altenative route.
-Mfano barabara ile ya kutokea Mbezi Mwisho kupitia Kifuri,Kinyerezi na Segerea kutokea Airport inatakiwa itandikwe mkeka kwa hiyo kama kuna mtu anakwenda Airport, Vingunguti viwandani, Tazara mapaka huku maeneo ya Radio Tanzania na mpaka Bandarini akiwa anatokea maeneo ya Mbezi Kibamba na hata mikoani hana point ya kungangania Morogoro road
-Pia pale Kimara mwisho kuna barabara ya kutokea Segerea kupitia Tabata nayo piga lami, piga rami pia barabara ya kutokea Kimara Mwisho kupitia UD na kutokea Kimara Mwisho kupitia Goba, piga lami barabara ya Mbezi mwisho kupitia pori la Mabwepande, Madale mpaka Tegeta Wazo Hill kwa hiyo kama mtu anakwenda Bagamoyo haleti pua Morogoro raod.
-Tengeneza barabara ya juu kwa juu kutokea Ubungo Kibangu ipasue mpaka hata huko Kimara mwisho.
-Piga rami barabara ya kutokea Msasani kwenda Mikocheni kupitia pale Mikocheni TANESCO ili ije kuunganisha na Mwai Kibaki road
-Piga lami ile barabara ya Mbagala kwenda Kigamboni kupitia Mbagala kuu
Mwisho kabisa weka flyover mbili moja pale Ubungo mataa na nyingine pale mataa ya TAZARA
Tukianzia hapo basi tumeshinda hata bunge lijengwe Dar hakuna taabu
 
Tembea kokote duniani bara bara ni juu na chini.. Barabara zinakuwa nyingi nyingi mpaka mwenyewe unadata..

Dar kuna magari machache sana na sana sema bara bara tu ndio wasi wasi ndio maana kuna mafoleni
 
Ishu ni muda wa kutoka sasa!kazi z bank siunajua wanavyo chelewa samtym!mtoto nae anamishe zake kwa masela mitaa mingine!mama anawahikutoka sana kumsuburi mzee ni muda mrefu sana!mama mkristo anapitia misa za jioni kila siku wakati baba muislam etc

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa hiyo Dodoma kwenyewe ndiko wanakohitaji foleni? Dawa ya foleni ni kuimarisha miundombinu yetu ya barabara.Mfano barabara zote za mitaani (feeder road)ziwe na rami pia kuwepo na altenative route.
-Mfano barabara ile ya kutokea Mbezi Mwisho kupitia Kifuri,Kinyerezi na Segerea kutokea Airport inatakiwa itandikwe mkeka kwa hiyo kama kuna mtu anakwenda Airport, Vingunguti viwandani, Tazara mapaka huku maeneo ya Radio Tanzania na mpaka Bandarini akiwa anatokea maeneo ya Mbezi Kibamba na hata mikoani hana point ya kungangania Morogoro road
-Pia pale Kimara mwisho kuna barabara ya kutokea Segerea kupitia Tabata nayo piga lami, piga rami pia barabara ya kutokea Kimara Mwisho kupitia UD na kutokea Kimara Mwisho kupitia Goba, piga lami barabara ya Mbezi mwisho kupitia pori la Mabwepande, Madale mpaka Tegeta Wazo Hill kwa hiyo kama mtu anakwenda Bagamoyo haleti pua Morogoro raod.
-Tengeneza barabara ya juu kwa juu kutokea Ubungo Kibangu ipasue mpaka hata huko Kimara mwisho.
-Piga rami barabara ya kutokea Msasani kwenda Mikocheni kupitia pale Mikocheni TANESCO ili ije kuunganisha na Mwai Kibaki road
-Piga lami ile barabara ya Mbagala kwenda Kigamboni kupitia Mbagala kuu
Mwisho kabisa weka flyover mbili moja pale Ubungo mataa na nyingine pale mataa ya TAZARA
Tukianzia hapo basi tumeshinda hata bunge lijengwe Dar hakuna taabu

Clear, feasible and logical analysis mkuu ila budget yake sasa...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
...serikali ikihamia Dodoma foleni itakuwa ni historia D'Salaam.
Amicus Curiae hujaeleza idadi na ubora wa barabara enzi za 'uchumi duni - 1980s' ziliwezaje kuhudumia wakazi wa huo mji bila hizo foleni na sasa uchumi 'ulivyokua' ni magari tu yanaongezeka na sio barabara za magari kupita!?
Ni mawazo mgando tu maana kama wanasema foleni kwa Dar es Salaam tu zinasababisha hasara ya billion 380 (nikosoeni kwenye figure-??) kwa mwaka, unadhani nusu ya hizo pesa zingewekezwa kwenye miundombinu ingelikuwa na matokeo gani?

 
Amicus Curiae tatizo la Tanzania sio idadi ya magari Bali uchache wa barabara. Kama umewahi kwenda miji mingine ya Africa utagundua Dar hamna bara bara. Cha kushangaza mpaka leo bado wanajenga barabara za 2lanes. Inasikitisha sana.
 
Last edited by a moderator:
Amicus Curiae tatizo la Tanzania sio idadi ya magari Bali uchache wa barabara. Kama umewahi kwenda miji mingine ya Africa utagundua Dar hamna bara bara. Cha kushangaza mpaka leo bado wanajenga barabara za 2lanes. Inasikitisha sana.


Yaani hakuna jambo linalonihudhi kama ujenzi wa 2lanes ktk barabara ambazo zilipaswa kujengwa kati ya 4lanes na 6lanes! Chukulia mfano wa barabara ya Mwenge-Tegeta ambayo ujenzi unaendelea. Wanajenga 2lanes ambazo tayari zinaonyesha hazitapunguza foleni. Ukitilia maanani kwamba muda mfupi ujao Kituo cha Mabasi ya Kaskazini kitahamishiwa Boko na Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo,unajiuliza kama kuna umakini serikalini wanapo panga miradi ya maendeleo.

Jiulize inakuwaje mpaka leo barabara ya Nyerere na Mandela ziko na 2lanes alizoacha Mwl. Nyerere? Ni maoni yangu kwamba rais ajaye moja ya kazi yake muhimu itakuwa ni kuvunja majumba Dsm na kujenga miundombinu inayo eleweka!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Dodoma kwenyewe ndiko wanakohitaji foleni? Dawa ya foleni ni kuimarisha miundombinu yetu ya barabara.Mfano barabara zote za mitaani (feeder road)ziwe na rami pia kuwepo na altenative route.
-Mfano barabara ile ya kutokea Mbezi Mwisho kupitia Kifuri,Kinyerezi na Segerea kutokea Airport inatakiwa itandikwe mkeka kwa hiyo kama kuna mtu anakwenda Airport, Vingunguti viwandani, Tazara mapaka huku maeneo ya Radio Tanzania na mpaka Bandarini akiwa anatokea maeneo ya Mbezi Kibamba na hata mikoani hana point ya kungangania Morogoro road
-Pia pale Kimara mwisho kuna barabara ya kutokea Segerea kupitia Tabata nayo piga lami, piga rami pia barabara ya kutokea Kimara Mwisho kupitia UD na kutokea Kimara Mwisho kupitia Goba, piga lami barabara ya Mbezi mwisho kupitia pori la Mabwepande, Madale mpaka Tegeta Wazo Hill kwa hiyo kama mtu anakwenda Bagamoyo haleti pua Morogoro raod.
-Tengeneza barabara ya juu kwa juu kutokea Ubungo Kibangu ipasue mpaka hata huko Kimara mwisho.
-Piga rami barabara ya kutokea Msasani kwenda Mikocheni kupitia pale Mikocheni TANESCO ili ije kuunganisha na Mwai Kibaki road
-Piga lami ile barabara ya Mbagala kwenda Kigamboni kupitia Mbagala kuu
Mwisho kabisa weka flyover mbili moja pale Ubungo mataa na nyingine pale mataa ya TAZARA
Tukianzia hapo basi tumeshinda hata bunge lijengwe Dar hakuna taabu
hehehehee,mdau umecomment kama mbunge au mwanasiasa
 
Back
Top Bottom