The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Akili yangu haijakaa vizuri bora anipe tu kisha aendelee kununa
mnhhhh waungwana wanajitokeza hapa
kazi kwako huko pm lol
Akili yangu haijakaa vizuri bora anipe tu kisha aendelee kununa
nishakoga nimejikoki na khanga ya mchina hapa
Vaa khanga acha maneno m on ma way!!!!!
Akili yangu haijakaa vizuri bora anipe tu kisha aendelee kununa
Ile iliyoandikwa "Ukinuna Wenzio Wala"?
Oi wapi hiyo
Hiyo mpe Sista wewe piga ile ya funua kawa sijui nini usibakize hata mfupa!!!!
Ennie jamani huh!ndo mana mie natamani nionane naye sn.
OLESAIDIMU you made my day. mwaaaaa
Kwa ruhusa ya nani na nani anafadhili mkutano wenu???!!!!