wanaume mmetufikiria vibaya kwa kweli......tunahangaika ili tuzisaidie familia zetu. si kila kitu tuwaombe nyie tunaogopa kusimangwa. sio kwamba eti tuwaona makatili ni katika harakati za kusaidiana kimajukumu. kipindi unaiendesha familia, mwanamke nae awe na kauwezo hata kakusaidia kwao...
kwanza pole sana kaka yangu. kuachana na huyo baby mama wako sio suluhisho la matatizo. na hata sitakushauri muachane kwa sababu unaweza achana na huyo kumbe huko unakoenda ndio balaa kabisa. kwanza haina hata haja ya kumweleza hayo yote kwa maana unaweza ukapokea usichokitarajia kabisa( kwa...
Afu hata sio wote wanakuwa wanamaanisha kuomba pesa au kupiga mizinga, ni kama kueleza tu jinsi hali yake ilivyo kwa wakati huo. msituone omba omba sana siku hizi tunatafuta vya kwetu
Habar wanajf,
Nina Mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana huko mkoani na akapata division 3 ya 25
Dogo akapangiwa ualimu lakini yeye ndoto yake ni kusoma mambo ya afya so ualimu akagoma kwenda now kaja Dar.
Je kwa ufaulu huu wa civ D Hist D Geo D Kisw C Eng C Phy F Chem D Bio C Math F...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.