Kokote kuna changamoto. Kuna watu wanafuata mazao na magari yao yanapata ajali. Kwa kuanza gari ya kusupply huwez jua uchukue ipi kubwa au ndogo. So lazima uangalie upepo wa soko ukoje kwanza. Unless uko na mahela mengi ya kununua gari everytime you need oneNilishalima ndizi kwa kutegemea usafiri wa kukodi. Nilipata hasara sana.
Huko hakuna upatu bali mko watatuEndelea mama watoto kula hiyo misumali na wanao .
Mi niko kwa Mwanjaa huko nikiacha hiyo hela nakuta supu ya kuku, na samaki wa kubanikwa na bado ananinunulia boxer.
Kama anatupiga UPATU anajua yeye
Una moyo wa kimaskini sana weweIli kukufanya usipate tabu ya kugawa hiyo hela mi nanunua kila kitu kinakua ndan msos wa wiki nzima na naenda kununua mwenyewe kazi yako wewe unaandika Tu unachotaka
labda humo ndani kuwe hapajawahi tokea tatzo la kuhitaji pesaSasa ukute kwa mfano ka laki moja kwenye kibubu ilete shida kheeee cha mno???
Nitaitoa lakini nitakwambia ni ya mama Ashura amenipa nimshikie hivyo itabidi tuirudishe.labda humo ndani kuwe hapajawahi tokea tatzo la kuhitaji pesa
ila kama limewahi tokea tatzo la uhitaji wa pesa,na aliuchuna kama hana
asee hiyo siku patavurugika mbona,yani ile siku nahangaika hela ya mtoto apelekwe hospital
anaona hali ya mtoto mbaya,kaona hadi ilivyobd nikakope kwa majiran (aliona yote hayo)
leo nakuja nakutana na kibubu kina laki na siku zile tulihitaji 50,000 tu ila hakutoa...
asee (simaliziii)