Mrejesho: Mboga yangu ya jana

Mrejesho: Mboga yangu ya jana

Huyo mdada ana akili sana ujue umeshaingia mazima anajua gharama zake zote zitarudi mara kumi mkuu mimi nipo uendelee kutuletea episode zinazofuata
Najua unanipenda sana Shunnie. Ngoja nile kwanza hii nyota tano yetu tutayajenga baadae[emoji7] [emoji7] [emoji6]
 
Niliposoma tu ati na wewe ukaanza kulia nikaelewa kwanini unakuja kuomba ushauri huku, ila napata mashaka na hii hadithi pia.
 
Mkuu wenzako wanaingiza kidole cha mwisho cha mguu. We unaingiza mwili mzima. You to be extra careful
Mkuu zigo nimelielewa kinyama..ila kuzama mazima bado
 
Duh! Humu jf, kila mwanaume mjanja, wote wanayajua mapenzi, wote ni wataalamu kwa kila jambo
 
we jamaa wewe! kwa hiyo hukumfumua wala nini mana si kwa mbwembwe zile za jana za kwenda kumbinua binua na kumfinyanga
 
we jamaa wewe! kwa hiyo hukumfumua wala nini mana si kwa mbwembwe zile za jana za kwenda kumbinua binua na kumfinyanga
Mkuu ata sielewi hasira ziliishaje asee, ata game mtoto yeye ndio alikiwa amepania zaidi yangu

Yaani mm ndio nilifinyangwa na kubilingwa hatarii
 
Kitonga hakijawahi kumuacha mtu salama
We mtoto nikikupata hakika utashukur maana dushelele si hizo bamia ulizo zoea[emoji13] [emoji13]

Virungu utasahau kama mwenZIO
 
We mtoto nikikupata hakika utashukur maana dushelele si hizo bamia ulizo zoea[emoji13] [emoji13]

Virungu utasahau kama mwenZIO
Hata wenye vibamia Mangi mnajusifu mnazo Kubwa,as long mnasimamisha na kukojoa Huku mmesimama.
You are just a liability...
 
Back
Top Bottom