Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,879
- 4,881
Kumbe Dar kuzuri, nitakuja kutembea siku moja
Mount Edgecombe interchange in Kwazulu Natal South Africa.Kwa Interchange kama hii, Dar lazima ipendeze.. Hongera sana Tanroad.View attachment 918353
Ufipa mlisema mwananchi hahitaji flyover wala ndege mlisema mwananchi anahitaji milo mitatu na uhuru wa kuandamana .... leo vipi tenaAfadhali pesa za marudio ya uchaguzi kwa mbunge aliejiuzulu kwa kisingizio cha kuunga mkono juhudi zingeelekezwa kwenye ujenzi wa maflyover au mainterchange kama hayo ingekua poa but kwa vile waafrika tunaona mbali sana ndomana hela znateketea kwa vitu vya kipuuzi na chakushangaza zaidi watu kama akina cheyo hawajiuzulu kuunga mkono juhudi.
Flyover za kuingia na kutoka Kigamboni madereva wanapotea sanaaa.Zamani walikuwa wanapotea waenda kwa miguu, ila soon wataanza kupotea waenda kwa mandinga
Nimekumbuka interchange ya ubungo... Mbuzi kwenye sandarusKwa Interchange kama hii, Dar lazima ipendeze.. Hongera sana Tanroad.View attachment 918353
Siku za mwanzo lazima mtu aende Mwenge badala ya buguruniZamani walikuwa wanapotea waenda kwa miguu, ila soon wataanza kupotea waenda kwa mandinga
Ubungo napo pa muhimu kuliko Morocco na MwengeTuwe na vipaumbele, wakajenge flyover Morroco na Mwenge kwanza
Kwa kutumia kigezo gani?Tuwe na vipaumbele, wakajenge flyover Morroco na Mwenge kwanza
Hivi vitu vinaenda kwa awamu(phases)..Tuwe na vipaumbele, wakajenge flyover Morroco na Mwenge kwanza
Mwenge je? Mangapi yanapitaKwa kutumia kigezo gani?
Hiyo barabara ya Kimara, kila siku inakadiriwa magari 50,000 kupita hapo aidha kuja au kutoka dar.
Naona uko ndotoniKwa Interchange kama hii, Dar lazima ipendeze.. Hongera sana Tanroad.View attachment 918353
Elewa maana ya neno 'Kipaumbele'Hivi vitu vinaenda kwa awamu(phases)..
Nadhani kuna siku nilimsikia mkulu akisema ht Mwenge,Morroco na magomeni watapata hii miundombinu
Hakuna barabara inayopitisha magari mengi kwa siku kama barabara ya mandela na morogoro road.Mwenge je? Mangapi yanapita
Hapana, ni Morocco -MwengeHakuna barabara inayopitisha magari mengi kwa siku kama barabara ya mandela na morogoro road.