Mbezi Kimara Interchange: Tanroads Mmetisha?

Afadhali pesa za marudio ya uchaguzi kwa mbunge aliejiuzulu kwa kisingizio cha kuunga mkono juhudi zingeelekezwa kwenye ujenzi wa maflyover au mainterchange kama hayo ingekua poa but kwa vile waafrika tunaona mbali sana ndomana hela znateketea kwa vitu vya kipuuzi na chakushangaza zaidi watu kama akina cheyo hawajiuzulu kuunga mkono juhudi.
Ufipa mlisema mwananchi hahitaji flyover wala ndege mlisema mwananchi anahitaji milo mitatu na uhuru wa kuandamana .... leo vipi tena
 
Tuache uongo..


Hapo ni Durban Africa Kusini..

Screenshot_20181223-072443.png
 
Back
Top Bottom