Mvumilivu2
Senior Member
- Jul 31, 2014
- 107
- 47
Habar wanajf,
Nina Mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana huko mkoani na akapata division 3 ya 25
Dogo akapangiwa ualimu lakini yeye ndoto yake ni kusoma mambo ya afya so ualimu akagoma kwenda now kaja Dar.
Je kwa ufaulu huu wa civ D Hist D Geo D Kisw C Eng C Phy F Chem D Bio C Math F anaweza kupata Chuo cha government akasoma nursing?(nimesema government kwa sababu ya uwezo ) au tukisema aendelee advance akasome mchepuo gani ambao utamsaidia baadae kutimiza ndoto?
Naomben mnipe ushauri nampenda sana mdogo wangu natamani siku afike mbali japo na sisi tuwe na wasomi katika ukoo wetu usiokwenda shule
Natanguliza shukrani
Nina Mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana huko mkoani na akapata division 3 ya 25
Dogo akapangiwa ualimu lakini yeye ndoto yake ni kusoma mambo ya afya so ualimu akagoma kwenda now kaja Dar.
Je kwa ufaulu huu wa civ D Hist D Geo D Kisw C Eng C Phy F Chem D Bio C Math F anaweza kupata Chuo cha government akasoma nursing?(nimesema government kwa sababu ya uwezo ) au tukisema aendelee advance akasome mchepuo gani ambao utamsaidia baadae kutimiza ndoto?
Naomben mnipe ushauri nampenda sana mdogo wangu natamani siku afike mbali japo na sisi tuwe na wasomi katika ukoo wetu usiokwenda shule
Natanguliza shukrani