Recent content by muzi

  1. muzi

    Sababu ambazo hufanya wanandoa kunyimana tendo la ndoa kwa makusudi, changamoto zake na madhara yake

    SABABU 10 AMBAZO HUFANYA WANANDOA KUNYIMANA TENDO LA NDOA KWA MAKUSUDI, CHANGAMOTO ZAKE NA MADHARA YAKE Katika maisha ya ndoa, tendo la ndoa sio tu suala la mwili bali pia ni daraja la ukaribu wa kihisia, kuaminiana, na kuimarisha upendo kati ya wanandoa. Pale ambapo mmoja wa wanandoa anaanza...
  2. muzi

    PostGE2025 Mwigulu Nchemba: Msanii kuimba kwenye kampeni za CCM ni ajira yake

    Tushakubaliana kila mtu afanye kazi yake, sisi wananchi tulishakubali kufanya yetu, mbona kelele nyingi guys.............guys..............
  3. muzi

    Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

    AKILI ZA KUAMBIWA HAPA WEKA NA CHANGANYA NA ZA KWAKO otherwise utasabisha mambo ya MO29
  4. muzi

    GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Tulishakubaliana 29 october ni siku ya maandamano ya amani ya kudai katiba mpya. Hakuna uchaguzi ni wastage of time, kazi ni NRNE kwa kwenda mbele
  5. muzi

    Kifo cha Edgar Lungu na uhaini wa Tundu Lissu ni funzo kwa Rais Samia

    WE NI MAVI. It is just matter of TIME, Tuendelee kuomba uzima wa AFYA, Malipo ni hapa hapa
  6. muzi

    Ushauri: Niende Serikalini au nibaki private sector

    Hapa utapata maushauri kibao lakini final decision itakuwa mikononi mwako. Kwa upande wangu kwenda kuanza kazi serikali ukapata hayo ma network wanayosema hapa itakuchukua not less than 3-4 years. Ukienda serikalini na hayo MaTSDG ya mishahara utakesha na kupiga kwata muda mrefu. Utakuwa desk...
  7. muzi

    NMB BANK sio muda mtaitwa wezi

    Yaani bora utoe ela kwa ATM ya bank nyingine, makato kwa wakala watakutoa mkojo mpaka mavi
  8. muzi

    Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani

    ........Breaking News................... Makamo wa RAIS wa KENYA muheshimiwa RIGATHI GACHAGUA, Almaarufu wenyewe humuita NAIBU RAIS ameondolewa rasmi madarakani, GACHAGUA ameondolewa madarakani baada ya bunge la SENETI, Kumkuta na hatia kama alivyo kutwa na hatia na BUNG LA KITAIFA...
  9. muzi

    Kama una ndoto za kwenda kuishi Marekani Green Card ya marekani wako na wewe

    Yaani kila kazi siku hizi madalali kibao
  10. muzi

    Mambo (7) wasiyotaka Wanamke wakati wa tendo

    Mwanaume kumaliza sex na kuondoka. Unapomaliza kusex na kuinuka unaondoka anaumia, anahisi kukatiliwa vibaya kihisia, anaweza asije tena, mwanamke anahitaji angalau dk 20 za kuongea nawe, wako hivyo! Usifike kitandani na kuanza sex. Mwanamke anahitaji maongezi kiasi fulani ili akili yake iwe...
  11. muzi

    Namna ya kufungua account iliyozuiwa kupost Telegram

    Nimekuwa nikitumia account yangu ya Telegram lakini hivi karibuni wamenizuia kupost kwa groups lakini kutuma kwa individucal ambao nime save namba zao hakuna shida. Tatizo ni kwa groups, ukitaka ku-post chochote inakuja SMS inasema sorry, you are currently restricted from posting in this group...
  12. muzi

    Nimetangaza ndoa ila nimekataliwa ghafla, bora niwe baharia

    Muzee hakuna mkate mgumu kwa chai maana yake tafuta ela, ukiwa na ukwasi mbona hata kesho unaoa mzee. TAFUTA ELA ZA KUTOSHA
  13. muzi

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Babu waarabu wanakulaga kwao hapo umejichanganya, unwaeza kuata hao watoto umezaa naye si wakwako bwana mzee. Waswahili kibao wenye wake wa kiarabuu wanachezewa rafu kibao, wanazaa na wenye ASILI yao. Chukua hiyo mali mpya lea hao watoto wako ila jiandae na kesi na fitina na kuendewa kwa waganga...
  14. muzi

    Ushauri: Lecturer ananitaka kimapenzi, ananitishia yeye ndio mwenye hatma ya matokeo yangu

    Una kipaji cha kutengeneza story kama Eric Shigongo, jitahidi utafika mbali
  15. muzi

    Mke wangu ananipa wakati mgumu

    Yaani hapo kutombewa mpaka unabeba mimba sio shughuli ya kitoto, inamaana alishafanya mke wa mtu. Ingekuwa mm ningefunga safari ya kimya mpaka alipo, namchukua na kwenda kupima, nikikuta anayo namchukua nampeleka kwa wazazi wake, namkabidhi na safari imeishia hapo. Naanza maisha mengine mapya na...
Back
Top Bottom