muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,038
- 1,448
Nimekuwa nikitumia account yangu ya Telegram lakini hivi karibuni wamenizuia kupost kwa groups lakini kutuma kwa individucal ambao nime save namba zao hakuna shida. Tatizo ni kwa groups, ukitaka ku-post chochote inakuja SMS inasema sorry, you are currently restricted from posting in this group.
Nimejaribu kuwatumia email lakini hakuna jipya, any one to help?
Nimejaribu kuwatumia email lakini hakuna jipya, any one to help?