Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Umetumia kiungo gani kufikiria ukitoa kichwa cha juu na cha chini mkuu…???
Haya mambo ni kweli, mi hata kama mwanamke zamani alikua mpenzi wangu,akiolewa tu sipigi tena! Sema ninae mmoja huyo ananisumbua hadi kesho, na ni mke wa mtu na kanizalia hadi mtoto, lakini sitaki kupiga tena, nafsi inanusta sana!!
 
Kwa mwanaume mwenye akili timamu yaani afya ya akili ipo sawa, ukifikiria maumivu atayoyapata mwanaume mwenzio kuwa kugundua umetembea na mke wake , asikwambie mtu hayo maumivu huwa ni makali sanaaaa hayasimuliki wala kuelezeka, madhara utayosababisha kwenye familia ya mwenzako utasababisha mauaji, uchumi wa familia kuyumba au kupoteza kabisa, kutengana watoto kupoteza dila ya maisha kiufupi utabomoa nyumba ya mwenzako kwenye kila idara, LAANA YAKE ITAKUTAFUNA WEWE NA VIZAZI VYAKO VYOTE KAMA SIO LEO HATA KESHO, kijana mwenzangu kimbia[emoji125] usigeuke nyuma mke wa mtu hana sababu au utetezi wowote wa kukufanya utembee naye, mwisho kabisa vaa viatu vya maumivu atayoyapata mwanaume mwenzio, kijana mwenzangu kwa uchungu kabisa nakwambia yale maumivu yanaumiza sana,
Una akili kubwa sana Mkuu....Mungu akubariki.
 
AKILI ZA KUAMBIWA HAPA WEKA NA CHANGANYA NA ZA KWAKO otherwise utasabisha mambo ya MO29
 
Kabisa sio bure, na kama vile jamaa kasema mumewe na huyo dada ni chawa sijui so kutwa kumsifia bi kizimkazi hana muda familiar yake kazi kutembeza kinyeo kwa anaowachawia..
Huyu mwanamke kuna kitu anakosa kwa mumewe.

Hicho kitu siyo pesa wala matunzo, bali ni show
 
Nipe namba zake mkuu....mimi ni tingatinga...ukute hata mmewe anakimada pembeni ndiyo maana hamzingatii mke wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom