Mwezi uliopita kuna mtu alinambia kuwa baada ya Rais samia suluhu kuingia madarakani kuna retaining fees iliondolewa, nilienda kuhakiki deni langu ambalo lilikuwa linasoma mil 4.4, ila statement waliyonipa ilionyesha nadaiwa mil 1.4, nikawauliza mbona kunatofauti wakaniambia kabla ya mwezi wa...
Umeeleza vizuri utekelezaji wa mtaala katika local level,lakini hautakiwi kukiuka sera yenyewe,kuwarundika watoto 1000 pamoja ndivyo mtaala unasema hivyo!? Unajua shule ya boarding kwa mujibu wa mtaala wanafunzi wanatakiwa wasizidi wangapi!? Usalama wao ukoje( moto,magonjwa,ulinzi) idadi ya...
Habari Dr,naomba nisaidie,ninatatizo la kende la kulia kuvimba kwa sasa limekuwa kubwa size ya yai la kuku,nitumie sawa gani lirudi katika hali yake ya kawaida..Cha ajabu haliumi
dah binafsi kuna kipindi nipo form five tanga nilipewa suspension tanga na sikuwa na nauli ya kurudi home pia mzee alikuwa mtata sana,wakati nakatiza mitaa ya chumbageni kwa miguu toka majani mapana ilipokuwa shule nayosoma Galanos nikajibanza kwenye ka saloon kamoja kakawa kapiga wimbo wa...
Kwa muda mrefu nimefatilia huu mjadala na kuona comments mbalimbali ,a wadau hapa.nikagundua yafuatayo.
1.hapo ofisini kinacho sumbua ni struggle for power .nyagabona,majura wapo against glory na johari hilo halina ubishi
2.aliyeleta post hii ni kati ya hao wawili coz wapo well informed on what...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.