wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Nikitumia simu yangu kuingia JF kabla sija log in nakuta tayari imeshaniandikia jina ni kujaza passwad tuu nashindwa ku off hili tatizo maana wasiwasi wangu kama akashika simu yangu mtu mwingine tayari ataona ussaname yangu ninayotumia hapa JF.
Wataalam naombeni hili tatizo nalisove vipi.
Wataalam naombeni hili tatizo nalisove vipi.