Siamini tena wanawake wapole

Siamini tena wanawake wapole

naumia sana kaka
Man ngoja nikupe ushauri wa kiume kabisa . Be a man, this time change gear kabisaaa, usimcheke chekee hovyo. Be straight muite muongee tena ukiwa umeweka uso wa serious, mwambie tabia hiz na hiz aache au kuna mambo anafanya hakufarahishi.

Akikujib kiburi ..mpe option mbili, ajirekebishe au muachanae.
Ukiona aelekei bado anaendelea, kata mawasiliano, break tena ukiwa serious. Najua inakuuma lakin hamna jinsi
 
Ha ha ha. Ana hatari sana jini hilo. Maana huyo atakuwa jini tu
 
Kitu ambacho niko tofauti napenda a man anayenifuatilia na kunipa vimarufuku vya hapa na pale' nguo hii sitaki, mda huu sitaki uwe sehemu fulani, uko wapi, mara kapiga midnight, sijakaa vizuri kapekua simu yangu, niko bafuni naoga kapokea simu. Wivu ule tukikaa 3 anataka akae katikati yaani na enjoy sana
 
Mkuu hulitendei haki hilo jina. Kulingana na jamaa alivyocheza kwenye ile movie hakuwa hata na mpango wa kuoa. Alikua hachunguzi watu ovyo ovyo. Ye alikua anapiga kazi kwenye vibumbu.

Sasa wewe unachunguza watu
 
Habari zenu wanajamii forum

Katika harakati za kutafuta binti anayeendana na sifa zangu nazotaka, eeh bwana macho yangu yakatua kwa binti mmoja wa kinyaturu ambaye nimekutana anaye hapa Moshi, Kilimanjaro. Yaani kwa kumwangalia ni mpole hana mambo mengi na kizuri nilichokipenda alikuwa muda wote anashinda kanisani, tena moja ya kanisa la kilokole na muda wote anaimba mambo ya Mungu.

Basi nikaanza harakati za kumfatilia maana kwa mimi ninaona kabisa ni aina ya mke nayemhitaji, basi bwana kama tabia ya wanawake ilivyo alinisumbua sana mpaka kumpata sasa mwaka jana mwisho nikafanikiwa kumiliki lakini sasa nimeanza kuona tabia zake sio kabisa.Kwanza ana kiburi kisicho na mfano na kitu cha pili nimegundua ana connection ya wanaume wengi sana japo ni msiri sana.

Kitu kingine nimegundua anapenda maisha ya juu sana kuanzia nimeanza kuwa naye, Pamoja na hilo mavazi anayovaa anapenda yale yanayo take attention kwenye jamii,yaani anavaa vimini huku mtaani ya nguo za kubana makalio mpaka najiuliza huyu sijui anasali nini yeye anadai yeye ni kijana wa kisasa na amenionya nisimfatilie maana nitaumia sana ana mambo mengi

Jamani nimeamini wanawake wapole wana siri nzito sana.Naombeni ushauri wadau niendelee naye au nifanyeje???
Upole ndo silaha yao hao
 
Kitu ambacho niko tofauti napenda a man anayenifuatilia na kunipa vimarufuku vya hapa na pale' nguo hii sitaki, mda huu sitaki uwe sehemu fulani, uko wapi, mara kapiga midnight, sijakaa vizuri kapekua simu yangu, niko bafuni naoga kapokea simu. Wivu ule tukikaa 3 anataka akae katikati yaani na enjoy sana
Daah madam umetisha.. Mpaka umefanya nikutamani
 
Duuh tafutaga mwingine taratibu ili uweze kumsahau
 
Jaribu kuwa mkali.
Bora kuachana kuliko vituko.
Alafu usimuoneshe sana kama unaumizwa na vitendo vyake.
 
Back
Top Bottom