moja ya vitu ambavyo mtanzania ujivuna sana popote duniani atuna (ukabira) ndomani lugha ya kingeleza ipo shuleni tu mtu wa mombasa uongea sana kiswahili mtu wa nairobi uongea sana kingereza apo utajuwa tu kwamba uyu wawapina uyu wa wapi lakini tanzania una weza ukafanya kazi na mtu mwaka 10...
awakawii taskia watanzania wamezuia mvua mawingu yamekwamia tanzania mwezi ume andama kwao lakini lakini wameongea mbaka basi unge anza kuandama kwetu kwange sema sana wasisahau tu wachina wanakuja kuchukuwa bandari yao mombasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.