Recent content by muor

  1. muor

    Heri ya siku ya kuzaliwa mzee Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete

    kakwambia nani jina lina udini kwa mfano mussa ibrahimu, mrisho,daudi yunus yapo kwenye dini gani?
  2. muor

    Huu utaratibu wa kuzikana kwenye masanduku ulianzia wapi?

    akuna mtu anaye kufa ana zikwa na kanzu wana zikwa na sanda.
  3. muor

    LA CASA DE PAPEL (Money Heist) S03: Tujikumbushe sehemu ya 1 na 2 na tutarajie nini??

    niliizalau mala ya kwanza ili nika sema sena movie ngoja niangalie tu bwana wee kumbe bonge la movie.
  4. muor

    Hivi kwanini Watanzania huwa mnaanza na kiburi ila hatimaye mnaishia kuiga Wakenya

    moja ya vitu ambavyo mtanzania ujivuna sana popote duniani atuna (ukabira) ndomani lugha ya kingeleza ipo shuleni tu mtu wa mombasa uongea sana kiswahili mtu wa nairobi uongea sana kingereza apo utajuwa tu kwamba uyu wawapina uyu wa wapi lakini tanzania una weza ukafanya kazi na mtu mwaka 10...
  5. muor

    Kwanini Mkenya haweza kula na kunywa bila kuitaja Tanzania?

    awakawii taskia watanzania wamezuia mvua mawingu yamekwamia tanzania mwezi ume andama kwao lakini lakini wameongea mbaka basi unge anza kuandama kwetu kwange sema sana wasisahau tu wachina wanakuja kuchukuwa bandari yao mombasa.
  6. muor

    Huyu Mlinzi wa Rais Magufuli kapatwa na majanga gani tena?

    😂😂😂😂 jamani mungu ana waona lakini.
  7. muor

    Zambia Kimenuka: Wananchi wapinga Mchina kuuziwa mali ya umma, barabara zafungwa

    na naskia adi kiwanja cha ndege wachina wanakita na kuna polisi wakichina kwenye jeshi la polisi.
  8. muor

    Swali firikishi: Kwanini watoto wanaozaliwa sasa hivi ni wazuri wa sura?

    ma mama zao wakiwa wajawazito wanajilemba sana .
  9. muor

    Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

    hahaha nouma kweli kweli umetish mzee baba.
Back
Top Bottom