LA CASA DE PAPEL (Money Heist) S03: Tujikumbushe sehemu ya 1 na 2 na tutarajie nini??

Ni series nzuri ila technology ipo wicked sana, huwezi kuwa na hostes zaid ya 100,+halafu ukawa lead wote kama mtu mmoja, series ni nzr kwa maana ya story, ila ina wick sana kwwnye uwasilishaji, hasa technology iliyotumika, professor anavyo wahadaa highprofile interagency, kwa mtu ambae ameangalia series nyingi hasa za usa, akilinganisha na hii anaona uongo mwingi sana...


Chukulia vile tokyo alivyo okolewa na namna alivyorudi ndani, yaan police hawawez kuwa wazembe kiasi hicho, labda kwa span, maana hata kwa tz isingewezekana.
Ulichosema sipingi sana, binafsi kuna sence nilikuwa mpka naboreka kuzitazama lakini ndo filamu ya maigizo hainabudi kukubaliana nayo....

Kuhusu technology napinga, filamu nyingi za USA zinazohusu tech ni uongo mtupu no reality at all, lakini katika hii (money heist) uhalisia upo na ndo kitu ambacho....

Kuhusu Tokyo alivoingia ndani ya mjengo uongo ulikuwa pahala pake asee ila in other case police ni wazembe kweli tazama filamu za STRIKE BACK utaona jinsi maaskari walivoonekana jinsi gani ni wazembeee....
 
😂😂😂 Ukimchunguza sana bata hauwezi kumla. Lakini tukubaliane, kuna watu wana bahati - Yaani kuna zari wanaponea chupu chupu na huezi kuamini.
Kwenye kesi ya Tokyo, iwe isiwe, ilikuwa lazima aokolewe kwa maana yeye ndiye anatusimulia kisa. There is no way atajua matukio huku akiwa kwenye mikono ya polisi. Tokyo akishikwa au kufa basi muvi imeisha, And, If you were paying much attention to the movie you would have understood Tokyo capture was planned - It was not by bad luck, It was by design so as to buy more time for the batallion inside the mint!

Mkuu hebu rejea technology iliyotumika kwenye 24, prison break, survival na kama umewahi kuona NIKITA, utaelewa ninachozungumza, na hzo series ni za mda sana, kuliko hii, kizri walichofanikiwa ni story, ila kwenye upande wa script na event, under40%

Wasingejifungia wakakubal ushaur nje ya uwezo wao nafkr wangekuja na mabadiliko, mchoraji ametuonesha kuwa police ni wazembe kiasi cha kushindwa kuzuia hata tukio la kawaida?

Rudi mkuu kaangalie episode ya mwisho ya series 2, wanagundua mhalifu, wakatprofessor yupo analia kampoteza mtu wake wa karb, on the spot watu wote wameondoka, wamebadl nguo na gar zimeondoka, duh.... hyo scan ya kibongobongo sana, wafanye marekebisho
 
Mkuu hebu rejea technology iliyotumika kwenye 24, prison break, survival na kama umewahi kuona NIKITA, utaelewa ninachozungumza, na hzo series ni za mda sana, kuliko hii, kizri walichofanikiwa ni story, ila kwenye upande wa script na event, under40%
Wasingejifungia wakakubal ushaur nje ya uwezo wao nafkr wangekuja na mabadiliko, mchoraji ametuonesha kuwa police ni wazembe kiasi cha kushindwa kuzuia hata tukio la kawaida?
Rudi mkuu kaangalie episode ya mwisho ya series 2, wanagundua mhalifu, wakatprofessor yupo analia kampoteza mtu wake wa karb, on the spot watu wote wameondoka, wamebadl nguo na gar zimeondoka, duh.... hyo scan ya kibongobongo sana, wafanye marekebisho
Sio kwamba nchi zilizoendelea hakuna watu wana pull trick kama hizo.. Wapo! Lakini pia bahati ilikuwa upande wa watekaji I can say. As dumb as it may sound, ila kuna nyakati kwenye maisha halisi kabisa unaponea chupu chupu sehemu ambayo "maji yamezidi unga" hadi unajiuliza hapa imekuwaje..

Tukirudi kwa set ya muvi, labda, kwa uelewa wangu mdogo wa muvi ingawa hatujaambiwa ni lini, lakini inawezekana hii muvi iliigizwa kuonyesha matukio yalivyokuwa 1970s huko or so. Sina maana ya kutetea lakini inaweza kuwa hivyo, kwa sababu Mimi na wewe hatuijui historia ya Spain, basi ukute wenzio wameigiza kitu kilichotokea 19 na kadhaa nyuma huko. Wakatia uongo kidogo lakini mengi yakawa ni yale yaliyotokea.

Hata hivyo, tunaweza tukatetea move yao kwa kigezo cha kuwa polisi walitegemea ifanyike tech na maujanja ya hali ya juu; Washkaji waka pull weak modus operandi ambayo polisi wangeidharau. Either way, Mimi ile muvi niliienjoy na sijaona flaw!!! Mtanisamehe.
 
Ulichosema sipingi sana, binafsi kuna sence nilikuwa mpka naboreka kuzitazama lakini ndo filamu ya maigizo hainabudi kukubaliana nayo....
Kuhusu technology napinga, filamu nyingi za USA zinazohusu tech ni uongo mtupu no reality at all, lakini katika hii (money heist) uhalisia upo na ndo kitu ambacho....
Kuhusu Tokyo alivoingia ndani ya mjengo uongo ulikuwa pahala pake asee ila in other case police ni wazembe kweli tazama filamu za STRIKE BACK utaona jinsi maaskari walivoonekana jinsi gani ni wazembeee....
I agree. Labda ndugu yetu alitaka aone sci-fi za mtu kuongea na mtu kwa saa.! Watu kupanda ukuta na madubwasha miguuni na kadhalika.!

Tanzania hatuamini sana nguvu ya saikolojia ndiyo maana inakuwa vigumu watu kuelewa hii muvi. It's word play! Hakuna kitu kingine... Sio lazima mitutu and stuffs, ni maneno tu yanatosha.
 
Ni series nzuri ila technology ipo wicked sana, huwezi kuwa na hostes zaid ya 100,+halafu ukawa lead wote kama mtu mmoja, series ni nzr kwa maana ya story, ila ina wick sana kwwnye uwasilishaji, hasa technology iliyotumika, professor anavyo wahadaa highprofile interagency, kwa mtu ambae ameangalia series nyingi hasa za usa, akilinganisha na hii anaona uongo mwingi sana...


Chukulia vile tokyo alivyo okolewa na namna alivyorudi ndani, yaan police hawawez kuwa wazembe kiasi hicho, labda kwa span, maana hata kwa tz isingewezekana.
Kweli kabisa ...ndio maana wakasema ni fiction, action and crime movie series
 
Ni series nzuri ila technology ipo wicked sana, huwezi kuwa na hostes zaid ya 100,+halafu ukawa lead wote kama mtu mmoja, series ni nzr kwa maana ya story, ila ina wick sana kwwnye uwasilishaji, hasa technology iliyotumika, professor anavyo wahadaa highprofile interagency, kwa mtu ambae ameangalia series nyingi hasa za usa, akilinganisha na hii anaona uongo mwingi sana...


Chukulia vile tokyo alivyo okolewa na namna alivyorudi ndani, yaan police hawawez kuwa wazembe kiasi hicho, labda kwa span, maana hata kwa tz isingewezekana.
Hii scene hata mimi ilinichefuaaa mno, kwa mtu alie zoea movie za Kimarekani na askari wa Kimarekani aisee paleee ni kama walizingua kinoma.
 
Hivi itakua January tarehe ngapi s4 kutoka? Mambo ya Tech na uongo nimewaachia mjadili wenyewe..
Mbona maigizo ya india mwa angalia mtu anafuatwa na msafara wa magari kumi na mapanga afu anawapiga woteeee
 
Hivi itakua January tarehe ngapi s4 kutoka? Mambo ya Tech na uongo nimewaachia mjadili wenyewe..
Mbona maigizo ya india mwa angalia mtu anafuatwa na msafara wa magari kumi na mapanga afu anawapiga woteeee
😂😂😂 Daah! Kuna ile muvi ya kihindi, Jogoo ndio protagonist. Huwa nacheka balaa!!

Speaking of S04, Sijaona Official announcement ya Netflix kuhusu released ya S04 ila taarifa niliyonayo ni mbaya na mbaya na nyingine nzuri:
> Kufikia mwakani Netflix wanakua wanaweka episode moja kila wiki, na sio kuimwaga yote kama tulivyozoea. Hii ni mbaya sana aisee.


> Nzuri na kufurahisha, Sharukh Khan anatuletea version ya kihindi ya Money Heist!! Hapa wanaotaka tech watapata wanachokipenda. Hii ni mbaya na nzuri.

> Nzuri ni kuwa season 04 lazima itoke mwakani. Hii taarifa tu inatibu presha na kisukari bhana!
 
Sio kwamba nchi zilizoendelea hakuna watu wana pull trick kama hizo.. Wapo! Lakini pia bahati ilikuwa upande wa watekaji I can say. As dumb as it may sound, ila kuna nyakati kwenye maisha halisi kabisa unaponea chupu chupu sehemu ambayo "maji yamezidi unga" hadi unajiuliza hapa imekuwaje..
Tukirudi kwa set ya muvi, labda, kwa uelewa wangu mdogo wa muvi ingawa hatujaambiwa ni lini, lakini inawezekana hii muvi iliigizwa kuonyesha matukio yalivyokuwa 1970s huko or so. Sina maana ya kutetea lakini inaweza kuwa hivyo, kwa sababu Mimi na wewe hatuijui historia ya Spain, basi ukute wenzio wameigiza kitu kilichotokea 19 na kadhaa nyuma huko. Wakatia uongo kidogo lakini mengi yakawa ni yale yaliyotokea.
Hata hivyo, tunaweza tukatetea move yao kwa kigezo cha kuwa polisi walitegemea ifanyike tech na maujanja ya hali ya juu; Washkaji waka pull weak modus operandi ambayo polisi wangeidharau. Either way, Mimi ile muvi niliienjoy na sijaona flaw!!! Mtanisamehe.

Mkuu, asant tuseme ni technology ya miaka70s, je hawakukumbuka hata kutuambia hzo pesa nyingi kiasi hcho waliziweka wap?; walichimbia au walizificha kwente gari, waligawana vp? Kunawiked nyingi, ila kwa upande wa story, imesimama sana...
 
Hoja nzuri mkuu...
Nilichogundua ni pesa hazikuchimbiwa wala kuwekwa bank, alafu kama umetazama vizuri pesa hawakugawana, kuhusu walizitunza wapi season bado inaendelea na ukizingatia Inspector amekamatwa tutajua mengi....
Mkuu, asant tuseme ni technology ya miaka70s, je hawakukumbuka hata kutuambia hzo pesa nyingi kiasi hcho waliziweka wap?; walichimbia au walizificha kwente gari, waligawana vp? Kunawiked nyingi, ila kwa upande wa story, imesimama sana...
Technology 70s siyo kweli, tatizo wewe unaonekana ni mtu wa science fiction na mauongo uongo ya marvel, hii ina technology ambayo inauhalisia....
 
Mkuu, asant tuseme ni technology ya miaka70s, je hawakukumbuka hata kutuambia hzo pesa nyingi kiasi hcho waliziweka wap?; walichimbia au walizificha kwente gari, waligawana vp? Kunawiked nyingi, ila kwa upande wa story, imesimama sana...
Angalia kwa umakini, Hela walikuwa wanaload kwenye mifuko. Wakamaliza wakahamishia kwenye gari wakipitia pale ambapo walikuwa wanachimba.

S03 inaonesha wameshagawana na kila mtu anakula zake bata!
 
Hili dude nimeanza kuliangalia juzi ni tamu sana. Nimeishia pale Berlin alipomtosa Tokyo kwa kumsukumia kwa mapolisi waliokuwa nje ya bank.
 
Back
Top Bottom