Recent content by munubhi

  1. M

    Nini hatma ya TCU baada ya kauli ya Rais Magufuli?

    Watu wanao unga mkono kauli ya Rais juu TCU siyo wataalamu wa elimu juu ya mfumo unaotumiwa vigezo ndo vinaelekeza watu kuchaguliwa vyuo husika ,na TCU hailazimishi mtu leo hii suala la mtu kuchaguliwa vyuo zaidi ya viwili limeisha sasa anataka kuturudisha tulikotoka , kauli nyingine hazifai
  2. M

    Mnyika: Rais Magufuli amekwama

    Unapo fukuza dagaa kukosa vyeti ukaacha papa ndo kinafanyika , ajira mizengwe tupu,
  3. M

    Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

    Ni kupunguza utekaji wa wanaharakati , matumizi ya nguvu wa raia wema nk
  4. M

    Huyu ndie lucky Philip dube

    R I P
  5. M

    Lwakatare, Jimbo lako umemwachia nani?

    Unapo hoji angalia mfumo wa uongozi je kuna miradi gani katika baadhi ya majimbo inaendelea na hali ya viongozi wa upinzani ikoje nchini
  6. M

    Tundu Lissu hajamshangaa waziri Mwakyembe juu ya yeye kugombea urais TLS asema neno

    This is our country is not belong to anyone let everyone participate
  7. M

    Watu kama hawa wanapomsema vibaya Lowasaa lazima tujiulize lini waliwahi kuwa na mapenzi na upinzani

    Sasa kama hao wasomi hawajitambui unategemea nani atabadilika tuendelee kuisoma namba kuindoa ccm itategemea utayari wetu na wala siyo viongozi wa upinzani tu
  8. M

    Yaliyojiri kutoka mahakamani kwenye kusikilizwa rufaa ya dhamana ya Mbunge Lema, akubaliwa ombi lake

    Kama angekuwa mungu bas tofauti na hapo no treat no surrender
  9. M

    Vijana wazalendo kutembea kwa miguu kutoka Dar hadi Dodoma kumuunga mkono Rais Magufuli

    Wajibu wake kutumikia taifa labda kama wamevulugwa kiakili
  10. M

    Vijana wazalendo kutembea kwa miguu kutoka Dar hadi Dodoma kumuunga mkono Rais Magufuli

    Kutembea si tatizo tembea KWA malengo magufuri ni wajibu wake uliisha ona wapi baba anatekeleza majukumu YA kifamilia anasifiwa wakati ni wajibu wake,
Back
Top Bottom