kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,010
- 650
Alikuaga, siyo Sasa.Mnyika ni Great thinker
Alikuaga, siyo Sasa.Mnyika ni Great thinker
CHETI chako cha milembe umerudishaAnatakiwa kuweka "Mifumo". sio kila siku Tumbua Tumbua.
my take.
CAG report. Tumbua Tumbua=0. hela zetu bado zinaibiwa Na kupotea.
katiba mpya haiepukiki
Utachonga sana lkn mwisho wa siku utaishia hayohayo tu.fanyeni gemu iwe fair play muone. Mnakuwa waogawaoga kama digidigi bana. Bunge live mmebana, uhuru wa mikutano ya siasa mmebana. Mmebakia kufanya mambo yakijingajinga tu Kwa kumtumia bashite na yote ikabackfire. Mnateka innocent unarmed ppl ambao hata hawawez kijidefend et tyss kwanini msiende kuwateka hao majambaz huko vichakani wanawaua ndugu zetu polisi. Mmeshindwa kudeliver mmebaki kufanya vituko na mambo ya kijingerjnger.
MNAKERA!
Ndugu yangu hawa watu wanashangaza sio kidogo utadhani wao ni RAIA wa Msumbiji na haya yanayoendelea hapa wao na familia zao hayawaumizi na kuwaangamiza.hivi nyinyi vijana Lumumba ni WA nchi hii ni maslahi tumbo.
nchi inaangamia nyie hamuoni
uvunjifu WA katiba wazwazi
utekaji
uchumi kuanguka
viwanda imekuwa VI wonder
ajira hamna
nyongeza Za mishahara hamna
mfumuko WA bei
nyie haya mnaona yanaletwa Na upinzani
Ulitaka kuandika kitu gani? Unafahamu maana ya "upinzani"? kauli ya Mnyika inamjeli mkuu kivipi? Tutakuwa tumekosea tukisema nchi hii imejaa akina Bashite?Upinzani ili uonekane unafaa ni afadhali wangemuunga mkono Rais wetu wa sasa...kazi anayofanya ni kubwa na wananchi tunaona,wanapokuja na kejeli kwa mkuu sijui wanadhani hatuna akili hatuoni?
Mtumbuaji ndiye aliyepaswa kutumbuliwa tangia enzi ya Mkapa lakini akalindwa.Anatakiwa kuweka "Mifumo". sio kila siku Tumbua Tumbua.
my take.
CAG report. Tumbua Tumbua=0. hela zetu bado zinaibiwa Na kupotea.
katiba mpya haiepukiki
nakunbuka huyu slaa ulikuwaga unamponda sana humu alipokuwa chadema. LINAFIKICHADEMA yenye hoja na ajenda za maana iliondoka na DR.SLAA
Dr.Slaa ndio kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzanianakunbuka huyu slaa ulikuwaga unamponda sana humu alipokuwa chadema. LINAFIKI
Huwezi kuweka mfumo kwenye ubongo wa watu waliozoea uhalifu/ wizi "you must first clean the house " sasa watu kila mtu kwenye idara zao walizoea wizi si lazima afute kwanza hiyo mentality ili aweze kuweka reform?Anatakiwa kuweka "Mifumo". sio kila siku Tumbua Tumbua.
my take.
CAG report. Tumbua Tumbua=0. hela zetu bado zinaibiwa Na kupotea.
katiba mpya haiepukiki
Duh, kaka umeifanya Pasaka yangu iwe na kicheko cha nguvu sana.Akili ya Mnyika ilikuwa zaman sasa hivi naye kawa msukule haswa
Popoma at his bestmko bize na bashite ndio ajenda yenu kubwa ya kitaifa, na kulaumu tu
mpaka akili ziwaingie mnakuwa vizee kama raila odinga na mnaiacha ccm
muda mwingi upinzani unacheza muziki wa ccm
mnakuwa side moja ya ccm huyu, against ccm yule
next day mnashangaa mmepigwa chini EALA, akili zinakuja ccm ni wale wale, mnaishia kutukana
upinzani ni kama mbwa asiye attack anasubiri paka na panya ndio wabweke!!
THEN......mwisho wake Mnyika anataka CCM waweke mfumo??? ...
Ni muda mzuri wa kuamka na kuwaza tume huru ya uchaguzi, CCM haiondoki kwa hizo wishes, na wala hawatamsiliza, ni nzuri akojoe alale, maana tushasema sana
au kuna jipya??
Kapige chabo unawashwaCHADEMA ni chama kilichokosa mwelekeo na dira.....sasa hivi wamebaki kushabikia matukio....ilianza madawa ya kulevya wakarukia.....vyeti vya makonda wakarukia.......kutekwa wakarukia chama hakina ajenda yoyote wanayoisimamia Zaidi ya kusubiri matukia
Arguments zako nyingi ni za kulaumu you never come with a constructive solution the way forward, kama wapinzani ni mbwa wewe tukuite nani fisi unayetoa udenda kusubiri kukumbukwa kwenye ufalme.mko bize na bashite ndio ajenda yenu kubwa ya kitaifa, na kulaumu tu
mpaka akili ziwaingie mnakuwa vizee kama raila odinga na mnaiacha ccm
muda mwingi upinzani unacheza muziki wa ccm
mnakuwa side moja ya ccm huyu, against ccm yule
next day mnashangaa mmepigwa chini EALA, akili zinakuja ccm ni wale wale, mnaishia kutukana
upinzani ni kama mbwa asiye attack anasubiri paka na panya ndio wabweke!!
THEN......mwisho wake Mnyika anataka CCM waweke mfumo??? ...
Ni muda mzuri wa kuamka na kuwaza tume huru ya uchaguzi, CCM haiondoki kwa hizo wishes, na wala hawatamsiliza, ni nzuri akojoe alale, maana tushasema sana
au kuna jipya??
Ulimaanisha siasa?mbona zimeruhusiwa majimboni kwao.usisahau wamefungiwa siada
Bado una imani na Lowassa kumbe?Siasa za Matukio Mbaya sana na hii ni kutokana na kuwa na Watu ambao ni Illiterate kwenye Siasa....
Lowasa kwa kua anaijua siasa huwezi kukumkuta kwenye Siasa za Matukio