Recent content by mugua

  1. M

    JamiiForums Tanzania Orodha Ya Matajiri Toka Tanzania

    Aliye na mawasiliano ya simu ya Bakherasa,Mengi,Sabodo,Mo Dewji,Gwajima,Diamond na Mfuruki naomba anitumie tafadhali.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Masaju, Uttoh, Chenge, Lissu: Hatuna chetu kwenye mchanga shida ni sheria hatutashinda kokote kule.

    Ni heri tushindwe tuvunje mkataba tuwalipe tuanze upya kwa kutunga sheria mpya ya madini yenye tija kwetu tupate faida mbeleni.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Chenge,Werema: Tume imedanganya kiasi kilichopo kwenye mchanga, wajivua lawama

    Shida ni mikataba inayowekwa kwa sheria ambazo zinapitishwa bungeni na wabunge walio wengi kwa hati ya dharula,kupitishwa kwa stahili hii kutatugharimu sana. Mkataba wowote ni lazima uwe na kipengere cha kuvunja,huwa hakiwekwi 7bu sheria kuhusu mikataba hupitishwa kwa pupa,tena na watu wengi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Sad: Zari, Diamond waipasua familia ya Ivan, Baba Ivan aongea kwa uchungu

    Zari alishakiuka sheria ya ndoa na mirathi,hakuna sheria inayorohusu mtu aliyekwisha zaa na mme mwingine kurithi mali ya aliyewahi kuwa mme wake,Ivan kwa Zari ni Co_Parent basi,warithi halali ni watoto wa Ivan ambao basdae wanaweza mtunza mama yao. Hakuna sheria inayoamini kama Zari hatatumia...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Je, Wajua Rais wa JMT Hayuko Juu ya Katiba? Anaweza Kulazimishwa Kumtengua Makonda, Akigoma, Bunge Linamtegua Urais?

    Hapo namba tatu,kila kitu kimeshachakachuliwa, Hakuna mahakama inayoweza kutoa hukumu inayokiuka mapenzi ya aliyemteua huyo mlalamikiwa, Hakuna mtu,chama,kundi linalojiamini kufungua kesi mahakami,hii awamu inatisha.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nape akiri wananchi wake kuchota maji ya kopo miaka 50 baada uhuru

    Ilikuwa sahihi katiba mpya kuwa na kipengere cha kuzuia mbunge wa kuchaguliwa na wananchi kuwa waziri,anashindwa kusema kero za waliomchagua,haishauri serikali badala yake anailinda serikali.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa vyombo vya habari Tanzania. Imetoka St. Joseph

    Ombeni kumuona mkuu wa nchi
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amani imetoweka kwenye ndoa yangu kisa kukosa mtoto

    Waone madaktari bingwa wa matatizo ya wanawake wakuchunguze mfumo wako wa uzazi,waone wakunga wa jadi kijijini kwenu,fanya maombi mungu atakusaidia,
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini tunarekebishiwa mishahara?

    Zoezi la uhakiki wa vyeti umeisha.Je wale tuliopandishwa madaraja mwaka jana mwezi wa tatu lakini hatukurekebishiwa mishahara ili kuruhusu uhakiki tutarekebishiwa lini mishahara yetu?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nini hatma ya TCU baada ya kauli ya Rais Magufuli?

    Kuna hivi vyuo vya St.kama mtu hakuomba kwenda St fulani hasilazimishwe kwenda huko.TCU iendane na mahitaji ya muombaji.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Aina nyingine ya vyeti feki: waliorudia darasa la saba na jina la aliyeacha shule

    Ikipita hii watu wengi kutoka mkoa wa Mara wataisha makazini
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwa sababu hizi kuu, tusimlaumu Mh Rais kutokuhudhuria kuaga miili ya wanafunzi huko Arusha

    Namba 6 ndiyo yenye uzito zaidi,ingekuwa vigumu kuandaa mazingira ya kiusalama kwa haraka namna ile.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Bunge huwa linatunga au linapitisha tu sheria?!

    Kujua KUSOMA NA KUANDIKA kunamwezesha mtu kutunga sheria kweli?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli tupia macho chama cha walimu.

    Mheshimiwa Rais kwanza pole kwa majukumu.Mpaka sasa umesafisha nyumba kiasi cha kutosha. Walimu tunakuomba utupie macho chama hiki,chama kina vitega uchumi,hakuna sababu ya wanachama kuendelea kukatwa 2% toka kwenye mishahara yao. Kila mwanachama ana hadhi sawa na mwenzake,kwanini...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kuna watumishi walikwepa kupeleka vyeti vya sekondari wamepona

    Wapo wengi waliombwa vyeti hawakupeleka wamepona,waliopeleka vya kuchonga mitaani ndio wameshikwa,sijui imekaaje hii?
Back
Top Bottom