Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Na sisi tuache majungu na fitna. Kulalamika ndio asili yetu, ndio maana ata malalamiko mengine yanapuuzwa tu.hicho chuo nacho migogoro mingi sana, ningeshauri TCU wakipige ban kwa miaka kadhaa kwanza maana malalamiko mengi, hata wanafunz wa hapo poleni sana