1: Nchi hii ni tajiri sana haitaji MCC.
2: Bila MCC wananchi watakula majani.
3: Wanaotumbuliwa wanaonewa na sijapenda kabisa.
4: Kazi ya kugawa pesa ni ya bunge na si rais.
5: Nimeshinda kwa 62%.
6: Nimeibiwa kura.
7: Tulishindwa uchaguzi mkuu kwasababu ya migongano na rushwa kwenye...
unakosea kusema EURA haina faida kwa watanzania SEMA HIVI eura haina manufaa kwa wanaUKAWA maana nyie ni wapinga maendeleo ya nchi hii......Naikubali EURA,huwezi shusha mafuta bcoz ww umenunua passo 1989. lazima ihakikishe inapandisha makusanyo ya nchi.
wabongo baana mnalalamika afu hamjui chochote, maana yaliyoshuka ni crude oil ambayo impact yake itaonekana 3 coming months.
HUIPENDI TZ HAMA NCHI USILETE SIASA ZA KUZUNGUSHA MIKONO KWENYE technical issues.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.