Hiyo hoja ya kuagwa sio hoja kabisa... Ishu ni kuzikwa? Kiimani mtu aendapo ndio aangaliapo na damu kutoka kwa wingi.... Hata marehemu anaposafirishwa... Kichwa kinaangalia aendapo....
🙏🙏🙏🙏
Cdhani km ni kweli pwani ni tajiri zaidi ya tabora au singida.... Jaribu kuvisit lindi, mtwara, tanga pangani ndio utajua unachomaanisha kumbe sicho
🙏🙏🙏🙏
Kuna umuhimu sana... Pindi upatavyo matatizo. Huta weza kuwapa taarifa watu wote.. Wanatafutwa ndg zake ambayo wanafahamika kwenye jamii eg walio ulaya na nk. For sure mtt wa mtani kwenu akienda ulaya lazima mtaa mzima wajue.. Hivyo wakitumia njia hiyo kwa wale watakao sikia tangazo na...
Kama we si muhusika then wasiwasi wako nini... Ni nahisi umemtelekeza.. Kwanini asinivamie mimi? Kimenuka mkuuu.. Jipange
🙏🙏🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.