Recent content by mtumishi wa kweli

  1. M

    Natafuta mpenzi wa kike

    Huchagui umri wakati umeweka limit 23-45.... Yupo wa 57yrs km huchagui umri....pepo toka 🙏🙏🙏🙏
  2. M

    Kwanini marehemu halazwi kifudifudi?

    Hiyo hoja ya kuagwa sio hoja kabisa... Ishu ni kuzikwa? Kiimani mtu aendapo ndio aangaliapo na damu kutoka kwa wingi.... Hata marehemu anaposafirishwa... Kichwa kinaangalia aendapo.... 🙏🙏🙏🙏
  3. M

    Kwa Hili kwa Mara ya Kwanza nakubaliana na Mzee wa Upako

    Kuwa ukijua kuwa mganga hajigangi... Mungu anakupa uwezo wa kusaidia wengine... 🙏🙏🙏🙏
  4. M

    Wanyonge tuunganishe nguvu kumuokoa Diamond

    Kwenye ukweli tusemeee... Diamond ameleta challenge sana bongo fleva... He deserves to be the best... 🙏🙏🙏🙏
  5. M

    Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

    Cdhani km ni kweli pwani ni tajiri zaidi ya tabora au singida.... Jaribu kuvisit lindi, mtwara, tanga pangani ndio utajua unachomaanisha kumbe sicho 🙏🙏🙏🙏
  6. M

    Nauliza tu

    Na hii ndio sababu kubwa inayomsumbua hiyo jamaaa... Lazima atakuwa anaushi kimaskini tu!!!! 🙏🙏🙏🙏
  7. M

    Sitasahau nilioa mwanamke mchawi, tukaachana chini ndani ya miezi sita baada ya harusi

    Assume we ndio unasoma ulichoandika. Then unaambiwa umejifunza nini kwa hizo statement zako? 🙏🙏🙏🙏
  8. M

    Natafuta mchumba wa kike

    Mmmh......... Kijana si ridhiki nahisi 🙏🙏🙏🙏
  9. M

    Natafuta kazi nina Diploma ya Sheria

    Nimependa hiyo 🙏🙏🙏🙏
  10. M

    Mvua ya mawe inanyesha kubwa sana mda huu

    Cdhani km kuna mtu hajui mtu akisema kuna mvua ya mawe..... 🙏🙏🙏🙏
  11. M

    Nini Mantiki ya Matangazo ya Vifo Redioni?

    Kuna umuhimu sana... Pindi upatavyo matatizo. Huta weza kuwapa taarifa watu wote.. Wanatafutwa ndg zake ambayo wanafahamika kwenye jamii eg walio ulaya na nk. For sure mtt wa mtani kwenu akienda ulaya lazima mtaa mzima wajue.. Hivyo wakitumia njia hiyo kwa wale watakao sikia tangazo na...
  12. M

    Msaada juu ya HIV

    Muombe mungu tu ila kama ulikuwa unasimamia show kwa kucha!!!! Jipange 🙏🙏🙏🙏
  13. M

    Naombeni sana msimpe ushirikiano wowote demu huyu kwa sababu anataka kuniingiza mkenge

    Kama we si muhusika then wasiwasi wako nini... Ni nahisi umemtelekeza.. Kwanini asinivamie mimi? Kimenuka mkuuu.. Jipange 🙏🙏🙏🙏
Back
Top Bottom