Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

waliokoment wengi wanaume yaan hata sielewi, mungu tuepushe na ushoga
 
Colour;moderate(black)
Height;173cm
Education;BedPsy.
Religion;Islam
mass;58kg
age; 27yrs
Sex; male
location; Mwanza,
hizo ndo sifa zangu,nyongeza ya muonekano wangu ni smartness na navaa miwani (plano). Sijapata kazi ila nina kibarua. Kama unaonafit tukutane PM. Utani naupenda lakini si leo

Mmmh......... Kijana si ridhiki nahisi


🙏🙏🙏🙏
 
Colour;moderate(black)
Height;173cm
Education;BedPsy.
Religion;Islam
mass;58kg
age; 27yrs
Sex; male
location; Mwanza,
hizo ndo sifa zangu,nyongeza ya muonekano wangu ni smartness na navaa miwani (plano). Sijapata kazi ila nina kibarua. Kama unaonafit tukutane PM. Utani naupenda lakini si leo

Sawa sawa tupe na volume tupate density yako
 
mzaha mwingi wakat mwenzenu niko serious, mtu anathubutu kuniita si riziki wakati huo yy akiwa mario
 
Colour;moderate(black)
Height;173cm
Education;BedPsy.
Religion;Islam
mass;58kg
age; 27yrs
Sex; male
location; Mwanza,
hizo ndo sifa zangu,nyongeza ya muonekano wangu ni smartness na navaa miwani (plano). Sijapata kazi ila nina kibarua. Kama unaonafit tukutane PM. Utani naupenda lakini si leo

hebu pata kwanza kazi.
 
Colour;moderate(black)
Height;173cm
Education;BedPsy.
Religion;Islam
mass;58kg
age; 27yrs
Sex; male
location; Mwanza,
hizo ndo sifa zangu,nyongeza ya muonekano wangu ni smartness na navaa miwani (plano). Sijapata kazi ila nina kibarua. Kama unaonafit tukutane PM. Utani naupenda lakini si leo

Hivi ni kitu gani siku hizi, kwanini kutafuta wenza kwa njia za mitandao?? Inamaana huko mnapoishi hakuna wenza au mnatisha kwa tabia zenu hadi mje ktk mitandao kutafuta wenza. Kiukweli nashangazwa sana na watu wa hvi. Nahsi wote mnaotafuta wenza kwenye mitandao mna vitabia flani vibaya ambavyo ktk jamii husika unayoishi inashindikana kupata mwenza. Huogopi kukutana na watu wa ajabu?? Na pengne ata ndugu yako???

Any way, Kila mtu na malengo yake!! Be blessed, Kila la kheri.
 
eee huo urefu wote mass 58kg nafurah kupata watu ambao ni warefu lakin wepes kama mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom