Huyu Jamaa inaonyesha baba yake ndiye aliyekuwa mweusi na ndiye aliyewekwa na waingereza baada ya kumuondoa sultan aliyekuwepo lakini mama yake alikuwa ni Mwarabu ambaye alikuwa ni binti wa sultan wa kwanza
Yaani mtu anacopy maandishi ya wengine na kuyatafsiri bila ya kuwa acknowledge then wewe unakuja hapa kunitaka nimuheshimu? Na ndio maana nikasema angeweka hiyo link tusome wenyewe na kuweka maoni yake juu ya Forex Trading...maana anachoandika kuhusu huyu bwana Geogre Soron kiko exactly kama...
SKOL wako vizuri sana kama kuna barabara wamejenga chini ya kiwango wa kulaumiwa ni Serikali yenyewe pamoja na macolsutant wake, maana wao ndiyo wakaguzi kwa kila process na designer wanotoa specifications ambazo skol anapaswa kuzifuata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.