Huu ni uhuni sasa umeweka tangazo lanini kama hutaki tujue beiSiwezi kufanya hivyo kuweka kila nyumba na Clarification yake ya bei ili kuepuka Debate zisizokuwa za msingi kuhusu hizo bei kama uko seriously just call me
Huwa nashangaaga kiwango cha elimu ya hawa watu, eti nyumba ya bei nafuu ml50!! Na ukitazama wanunuzi wote ni matajiri, nilithani wangetuambia nyumba za bei rahisi million5, mfano hawa nnsf wanafanyia biashara pesa zetu na hawatupi riba, wanazalisha matirilion ya pesa sasa wanashindwaje kujenga nyumba za bei rahisi kwa ajili ya wanachama wake? Bongo bahati mbayaGharama nafuu unamaanisha sh ngapi? Yasijekuwa yaleyale ya NHC eti nyumba za bei nafuu ambazo wananchi wa kawaida wataafford ukiuliza bei unaambiwa Tsh 50-80 million, sasa ni mtanzania gan anayesemwa wa wakawaida akaweza kununua nyumba za bei hizo?
Ni ngumu sana kusema moja kwa moja bei yake ikiwa sijaona ramani na kupiga hesabu idadi ya tofali zitakazo tumika
Steel fixingView attachment 807783
Kwahyo m nanunua material tuInategemea sana na idadi ya tofali ambazo nyumba yako itatumia...hivyo ni lazima tuone ramani then tutembelee site, kisha tutapiga hesabu ya tofali zitakazotumika mkuu lakini kwa haraka lobour charge ni kati ya million 1.5 hadi million 3
HatariInategemea sana na idadi ya tofali ambazo nyumba yako itatumia...hivyo ni lazima tuone ramani then tutembelee site, kisha tutapiga hesabu ya tofali zitakazotumika mkuu lakini kwa haraka labour charge ni kati ya million 1.5 hadi million 3
Hyo ni pamoja na kupaua auInategemea sana na idadi ya tofali ambazo nyumba yako itatumia...hivyo ni lazima tuone ramani then tutembelee site, kisha tutapiga hesabu ya tofali zitakazotumika mkuu lakini kwa haraka labour charge ni kati ya million 1.5 hadi million 3
wape mafundi wako vifaa kwa usalama wao