Recent content by MTUKOO

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanyeje ili niondokane na maumivu haya?

    Wewe liwa eti mme mtarajiwa! unashndwa kusoma mm nasema shndwa tu maana hamna namna utamla yy
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alimpa namba yangu ya simu aje anisalimie sasa amenuna

    Huyu jamaa umri yaweza kuwa bado wako kwenye foolish age wakikukua wataacha
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wachagga leo watakufa

    Haleluyaaa!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya Sumaye kupigwa Nyundo mpaka Chini!

    Hivi hili laweza kuwa gazeti la zitto kabwe?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

    Umbea at work
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Hamis Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Amana

    ndg uvamiz mana yake nn? utaskia wabongo wanashngaa da wazr noma huyu? kwan uvamiz ndo hitaj la watanzania? ndo huduma?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Hamis Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Amana

    Sion cha kushngaa hapo japo namwamn huyu wazr!atafanya vizur zaidi ya mawazr wote wabongo mbn wepes hiv kushtkiza ni nn?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ndoto za mapenzi zinanitesa

    Unawaza ngono kwa mda mrefu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wamarekani watamani Magufuli awe rais wao

    Acha uongo waweza linganishaje uwezo wa obama ki utendaj na maguful? wapi vigezo walivotumia hapa?
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninavyoendelea kumdanganya huyu mrembo

    Acha uzinzi maana mungu wa mbinguni hapendi ukikaidi utakja pata madhara makubwa katka familia yako ndg
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Wanaokwepa Kodi hawataacha kirahisi, Magufuli endeleza mapambano

    Da kwan yy alkuwa rais wa nchi gani jamani?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Jamani huu ualimu mbona karaha namna hii?

    Yawezekana si ww si mkuu wako hamjui sheria ya kazi na mahsiano kazn so is better ukhama halafu anza kutafta y uhame
  13. M

    JamiiForums Tanzania Misamaha ya kodi Bakwata na Taasisi nyingine

    mtoa mda umewai kujulza kwa nn mh rais avamie bandarn huko ndiko kwenye shda! why bakwata not kwingme? viva tra go ahead
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msukuma: Rais Magufuli apige marufuku mikutano ya vyama vya siasa hadi 2019

    Kwani kisw ni lugha yako toka ln? unafahm historia ya kisw? unafahm misamiat ming historia yake? neno dini meza nk
  15. M

    JamiiForums Tanzania BREAKING NEWS: Nguli wa filamu akamatwa kwa kujiunganishia umeme kiwizi

    Huyu dada alkja ccm kuharb chama hapo watakoment ccm ni ileile sheri chukua mkondo tu
Back
Top Bottom