Sossy Mwasi
Senior Member
- Jul 19, 2015
- 190
- 23
Napata ndoto za mapenzi kwa wiki mara mbili au tatu karbia mwezi mzima, yaani mara kwa mara.
Kinachonishangaza ni kuwa despite of having sex mara kwa mara bado napatwa na ndoto hizo. Sielewi nimepatwa na nini na limekua tatizo la muda sana.
Nisaidieni kwa wenye uelewa..
Kinachonishangaza ni kuwa despite of having sex mara kwa mara bado napatwa na ndoto hizo. Sielewi nimepatwa na nini na limekua tatizo la muda sana.
Nisaidieni kwa wenye uelewa..