1. The nice men are ugly.
2. The handsome men are not nice.
3. The handsome and nice men are Gay.
4. The handsome, nice and heterosexual men are married.
5. The men who are not so handsome, but are nice men,have no money.
6. The men who are not so handsome, but are nice men with money...
wabongo bwana uwe kimya wanachonga uongee sana wanachonga,sasa ukimya wake unawahusu nini kila cku sio lazima aonekane kwenye vyombo vya habari.kila mtu ajali ya kwake yanayomletea maendeleo vingine si vya lazima.habari ndio hiyo
hatuna serikali tanzania tuna genge la mafisadi ambao wamepeana uongozi ili mwenye kusafiri kila siku asafiri na mwenye kula pesa za wananchi ale tu.kiukweli zamani nilikua nasikia fahari sana kua mtanzania ila sasa hivi hali ni tofauti kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.