MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Jamani wala si chokochoko, Mzee wetu maarufu sana kwa kumwaga Mipesa mitaani na kukemea mafisadi Papa na hata kufikie kupishana njia na Yusuph Manji, Siku hizi amekaa kimya sana kuliko kawaida.
Kulikoni mzee huyu? au ni kukaushia?
Wengi amewatoa kiaina na Walemavu najua wanampa Salute sana DSM...
where is he?
Kulikoni mzee huyu? au ni kukaushia?
Wengi amewatoa kiaina na Walemavu najua wanampa Salute sana DSM...
where is he?