don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Ikiwa imepita takribani wiki moja, tangu nimeripoti hazina ya taifa kukauka kupelekea kukatwa pensheni za wastaafu serikali, sasa imegeukia wanafunzi vyuo vikuu nchini.
Akiongea na wanafunzi CHUO KIKUU CHA MT AUGUSTINE-, makamu mkuu wa chuo Rev Dr Charles H. Kitima amesema kwamba serikali kupitia bodi ya mikopo imesema haina pesa za kuwalipa wanafunzi wa chuo icho walioanza semister ya pili tangu february 13 mwaka huu.
Aidha ametishia kutowapokea wanafunzi walio chini ya udhamini wa serikali ktk mwaka wasomo unaokuja. Aliendelea kusema bodi yamikopo hutoa 'meals and accomodation' na kuwacheleweshea 'tuition fee' ambapo chuo hushindwa kujiendesha chenyewe. 'SAUT' ni chuo pekee nchini ambacho tuition fee yake ni ndogo.
Inavyosemeka serikali ina haha kutafuta pesa kuwalipa wanafunzi vyuo vikuu. Cha kushangaza hapa, ni kwamba bajeti ilishapita na fungu kutengwa, je sirikali ilimega?. Takribani wiki mbili sasa wanafunzi wa SAUT hawajapewa fedha zao hali inayowaathiri kimasomo.
Akiongea na wanafunzi CHUO KIKUU CHA MT AUGUSTINE-, makamu mkuu wa chuo Rev Dr Charles H. Kitima amesema kwamba serikali kupitia bodi ya mikopo imesema haina pesa za kuwalipa wanafunzi wa chuo icho walioanza semister ya pili tangu february 13 mwaka huu.
Aidha ametishia kutowapokea wanafunzi walio chini ya udhamini wa serikali ktk mwaka wasomo unaokuja. Aliendelea kusema bodi yamikopo hutoa 'meals and accomodation' na kuwacheleweshea 'tuition fee' ambapo chuo hushindwa kujiendesha chenyewe. 'SAUT' ni chuo pekee nchini ambacho tuition fee yake ni ndogo.
Inavyosemeka serikali ina haha kutafuta pesa kuwalipa wanafunzi vyuo vikuu. Cha kushangaza hapa, ni kwamba bajeti ilishapita na fungu kutengwa, je sirikali ilimega?. Takribani wiki mbili sasa wanafunzi wa SAUT hawajapewa fedha zao hali inayowaathiri kimasomo.