mtoto wa mfugaj
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 136
- 29
haya bwana sms delivered
sema mbona kati ya hao wote wakristo ni wanne tu, wengine wote waislam, lakini bado tu hawana uwezo wa kuwasaidia waislam wenzao...chukulia mfano matajiri wa kiislam hao wangefanya kama anavofanya mengi, au wachange kujenga shule tu badala ya wao kuchangia milioni mia moja ili watu waingie yanga na simba bure....pesa bila akili ni sawa na sifuri.
Nimecheka hapo kwenye Red kuwa Rostam anamiliki hadi DailyNews!LIST OF RICHEST PEOPLE IN TANZANIA
5.Rostam Aziz: Caspian; Vodacom,New habari corporation with news paper
like dailynews,habari leo etc
Huyu naona ameanza kunyang'anywa Mgodi wa KiwiraBenjamin William Mkapa
2015 sio mbali tutawapora mali zao!!Watanzania bwana..hata kama watu wanatuibia sisi tunawashangilia tuu. Imefika mda sasa tuache ushabiki wa kijiweni,watu hawalipi kodi sisi tunawasifia matajiri wa tanzania??? what a shame?????
Dr Slaa -- Watanzania.
Mbona simuoni Tanil Mwenye ultimate security na shivacom
sema mbona kati ya hao wote wakristo ni wanne tu, wengine wote waislam, lakini bado tu hawana uwezo wa kuwasaidia waislam wenzao...chukulia mfano matajiri wa kiislam hao wangefanya kama anavofanya mengi, au wachange kujenga shule tu badala ya wao kuchangia milioni mia moja ili watu waingie yanga na simba bure....pesa bila akili ni sawa na sifuri.
Like like!!!!"like"