hiyo no 1 na 5,unitokea sana, kna msichana atasimuelewagi anamaanisha nn, kuna siku nlimuektia nlimshika kiuno mbele za watu, akafoka ile mbaya bas nkamwambia kuanzia leo usinijue, baada ya km siku 3 iv akajileta mwenyew mtomzinga mambo baby, yaan nlimwangalia alaf cool baya, ile naondoka sio...