Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

Duh Ndg Wawili Wote Wizara Moja Ya Fedha Wakiwa Kwenye Nyadhifa Za Juu Za Maamuzi.
Wilaya Mpya Ya Buhigwe Mkoa Wa Kigoma
Sehemu InaitwA Kasumo Huko Kwenda Burundi Na Mguu Tu.

Acha Nami Ningoje Majibu Ya Hawa Watu Wakoje
Huku Tukilishwa Yamini Uchumi Unakuwa Kwa Hali Nzuri Sana
Hebu ongeza nyama kidogo , kuna kitu unakifahamu wewe .
 
Hawa ni wateule wa Rais Magufuli, ila kuna taarifa zinazodai kuwa wawili hawa (Ndg. Dotto James ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Waziri Philip Mpango ambaye ni Waziri wa Fedha) ni ndugu na wote ni maswahiba wa 'mkuu wa kaya'. Endapo tetesi hizi zina ukweli, tutarajie nini? Kwa anaowafahamu wawili hawa, tafadhali tusaidie kujua mbivu na mbichi.
Kama Trump na binti yake, mtoto wa kiume na mkwe...hakuna tatizo so long as kazi inapigika, ila kama kuna mambo ya fwedha kuliwa hapo basi issue nyingine, leteni vidhibiti..
 
sijaona sabab ya kuandika haya..kama wana sifa za kuwa ktk nafasi hizo basi waache walitumikie taifa..
na hiyo ndo point wanayotumia viongozi hawa wa ccm kuwajaza ndugu na watoto zao BOT, iv ww hauoni hapo kna conflict of interest?,wewe unadhani hawawezi kufanya maamuzi kwa interest zao au ya uko watokako?,serikali za afrika zimepoteza kabisa nguvu kazi hasa vijana wenye vision na creativity,vichwani wamejaza michezo ya ajabu km betting na upuuzi mwingine, kijana embu fungua bas iyo akili ,usituaibishe kwa ubashite wak,araaaaaaa
 
Mkuu hakuna haja ya kupishana kwa jambo ambalo halina maslahi kwa nchi, mimi namfahamu hivyo inatosha.
Kubali kaka ,huyo Philip mpango ,ni mdogo Wa askofu mpango,na amesoma myama buhigwe kgm
 
Wacha tu tutengeneze Lakezone Empire

Si mlitupa nchi wasukuma? Au mnafikiria Huyu ni yule Wa msonga?....

Zitto aliwaambia nendeni mkamsome Putin mkakataa lawama za nini?.....
Huyu jamaa yupo wapi?
 
na hiyo ndo point wanayotumia viongozi hawa wa ccm kuwajaza ndugu na watoto zao BOT, iv ww hauoni hapo kna conflict of interest?,wewe unadhani hawawezi kufanya maamuzi kwa interest zao au ya uko watokako?,serikali za afrika zimepoteza kabisa nguvu kazi hasa vijana wenye vision na creativity,vichwani wamejaza michezo ya ajabu km betting na upuuzi mwingine, kijana embu fungua bas iyo akili ,usituaibishe kwa ubashite wak,araaaaaaa
Trump alimteuwa mkwe wake kuwa mshauri wa Marekani, kamteuwa mtoto wake kuwa mshauri wake,

Kama wametimiza vingezo sioni kama kuna tatizo...
 
Back
Top Bottom