Dalili za mwanamke anayekupenda

Dalili za mwanamke anayekupenda

hiyo no 1 na 5,unitokea sana, kna msichana atasimuelewagi anamaanisha nn, kuna siku nlimuektia nlimshika kiuno mbele za watu, akafoka ile mbaya bas nkamwambia kuanzia leo usinijue, baada ya km siku 3 iv akajileta mwenyew mtomzinga mambo baby, yaan nlimwangalia alaf cool baya, ile naondoka sio kunifata huko,......yote tisa kumi nkiomba chezo miyeyusho kibao
note:sijawah mtongoza
 
mkuu hizi sifa zote awenazo mmoja au hata moja tu inatosha?

Maana hamna mwenye hizi sifa upande wa huku
 
Mi hua nasema kama mwanaume : usitafute kupendwa na Mwanamke.
Tafuta kumpenda Mwanamke.

Ukipendwa angali haumkubali haitakua na tija yoyote.



Sent using Jamii Forums mobile app
umeongea point sana,natamani wakuelewe kama nilivokuelewa mimi,kuna dem alikuwa ananipenda halafu mimi sikumpenda, akipiga cm nafikiria atamaliza saa ngapi kuongea, haikuwa na tija yoyote
 
Back
Top Bottom