Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Kwani lazima wote muombee Dar, wengine muende hata Simiyu
Ndiyo hivyo, vijana siyo wabunifu kabisa. Tena mikoani huko watapata nafasi bila ushindani wowote.
Lakini kwa sababu, akili za vijana wengi ni kama maziwa mgando ambayo hayatikisiki wote watang'ang'ania ofisi za Dar na kuachia nafasi mikoani

