Laana-je mwili unaweza kujidhuru?

Laana-je mwili unaweza kujidhuru?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,517
Reaction score
860,567
Sayansi ya utambuzi na ufahamu wa mwili kwa maana ya conscious mind inatumbia kuwa mwili una uwezo wa kujilinda na mashambulizi yote kutoka nje ya ufahamu wake tafiti nyingi zilizofanyika kuhusu laana na kulaaniwa zimekuja na majibu yenye maswali mengi pia baadhi ya maswali hayo ni 1.je kuna uhusiano gani kati ya mlaani na mlaaniwa? 2. Je laana yaweza kudhuru kwa jambo la uongo? 3.je waweza kulaaniwa na mtu baki na ukalaanika? 4. Je jambo la kweli lina kichocheo gani kweye kulaani na laana ikakubali? 5. Je watu wawili wanaweza kulaaniana? 6. Je laana ninini? Karibuni tujadili
 
laana ni dhana .za kufikiRica zaidi kuliko uhalisia....
 
hakuna kitu kama icho.........laana, ila nachofahamu mm mawazo yako mwenyewe ndio chanzo cha iyo inayoitwa laana, kiuhalisia hakuna laana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom