Tupeane uzoefu siku ya kwanza kuja bongo

watu weng wa mikoani huona dar km ulaya, nlipokuwa a level kanda ya ziwa kila mwanafunzi alikuwa anapenda jinsi nlikuwa naongea walikuwa wanasema "ninaongea haraka haraka" wakat mm pia nliwaona siwaelew vizur, kiufup walinikubali sana sana na walikuwa wakiniita MBONGO,in short wanapakubali sana dar
 
watu weng wa mikoani huona dar km ulaya, nlipokuwa a level kanda ya ziwa kila mwanafunzi alikuwa anapenda jinsi nlikuwa naongea walikuwa wanasema "ninaongea haraka haraka" wakat mm pia nliwaona siwaelew vizur, kiufup walinikubali sana sana na walikuwa wakiniita MBONGO,in short wanapakubali sana dar
Ulivyoongea tu inadhihirisha si MTU wa dar sema unatamani ungekuwa wa Dar

Delta Force
 
Ulivyoongea tu inadhihirisha si MTU wa dar sema unatamani ungekuwa wa Dar

Delta Force
ww kweli kipochi, kwa taarifa tu babu yang kaja mjini 1954, baba yang tu hafahamu ata lugha ya kwao tu, mdgo wang hizo zilikuwa hustle za skuli mkoani ndo maana nkaandika ivo, ila mm mjn ktambo ,tumegonga sana makonda mjini fire hapo enzi sa skuli
 
Pakipuuz sana tofaut na nlivyokua nasikia kwa watu...hali ya hewa chafu..mazingira machafu..yan ata alietoa ushauri ikulu iwe dar nashauri akapimwe mkojo!.

young kilimanjaro
 
Mara ya kwanza nakanyaga ardhi ya dar nilikuwa naumwa tumbo la kuhara, nilishusha mzigo chini ya gari bovu
 
Nilipachukia baada ya kufika pale kwa aunt tulikuaepo vijana wa 5 aunt na dada wakazi kakaletwa kaugali kwenye hotpot kubwa jamaa wanakata kaugali kijiko kimoja na maji mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom