Habari wana jamvi wa technolojia,..
Nampango wa kununua tv anina ya star x inch 43 smart ivi hizi tv zina tatizo kwa ambae ametumia? na je, hiyo smart ni kwenye ina support internet youtube na vingine km smart tv zingine.. naomba mnishauri.. Asanteni in advance.
Mm naona japo hata kwa asilimia 0 siamini hii biashara ya bahati na sibu.. hawo wanaopata hizo hela tuone wamezitumiaje kimaendeleo na tuone mabadiliko.. wewe ushawahi ona nchi inaendeshwa kibahati nasibu? Jamani watanzania na wengine huko tusikubali sisi sio shamba la bibi, imagine tunaakili...
Habari wana JF...
Hope mpo poa, ambao mpo kazini poleni na kazi na kazi njema ambao mpo vijiweni namatakia mcha mwema..
Km heading hapo au mada hapo naomba kujua.. nini maana ya mwaka unaogawanyika mara mbili na mwaka usiogawanyika mara mbili? Na je kuna lile jambo la mwaka mgumu na mwaka...
Njoo kwangu mm naanza na kutoa hela, km naweza nika beti game arsenal na chelsea, ni kampa ushindi arsenal kwa zaidi ya laki, nishindwa kwa mtu ambae hela kwanza ndio mazungumzo...
Na sim hct1 m8 bado ipo version ya 5.1 android kila nikijaribu ku update , inaji update ila bado inakuwa ni 5.1 ile ile. Nifanyaje niweze ku upgrade kwenda 6 au 7?
Kwa mtazamo wangu... Jaji mkuu atakamatwa na polisi ila kwa amri ya raisi na sio mtu mwengine.. ata kama ata tenda kosa, kitakacho tokea ni raisi kumvua madaraka na kuwa km mm na ww yaani raia wa kawaida hapo ndio atahukumiwa ila sio akiwa km jaji mkuu.. lazima amri itoke kwa raisi .. ndio maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.