Copy&pest
UHURU: Nimechaguliwa na wakenya, maoni ya wakenya ni nguzo muhimu ktk uongozi wangu. Siwezi kuyapuuza.
JPM: Nilichukua fomu mwenyewe, kwa hiyo sipangiwi. Ukijaribu kunipangia ndio unaharibu kabisa.
UHURU: Nimefurahi kukutana na kaka yangu Raila. Tumeamua kuweka tofauti zetu kando...
Naomba tu hili sakata LA mchanga wa madini liishie kama watanzania tunavyozani na isije ikawa kwa jinsi nyingine baadae maana hata Mungu atanyamaza kwakweli
Kweli kabisa kuna aina nyingi ya mateso ila vitisho na mateso ya moja kwa moja macho kW macho hutia hofu zaidi likifwatiwa na onyo Kali na bora kupetezwa MTU muhusika kuliko kuchukuliwa kutekwa na kuuliwa ndugu zako
Haaa basi ni mtazamo tofauti wa mapadre aisee na ni sehemu na sehemu ila sio utaratibu au sheria, kama ilivyo jpil kwa wakatoliki dunia mzima kufanana katika mass nzima maana basi makanisa yote yangefwata
Lakin pia kwani kuna shada gani kukaa pamoja maana lengo ni kusali au wanaume wanaendaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.