Vyumba vya mateso

Vyumba vya mateso

Mbna unaongelea vitu out of topic,

Tusiharibu uzi, brother let's end here

Najua utaona n ujinga kwa sababu ya mawazo ya watu weng kama ww...


Mfano hiv Sasa tuna bishana hapa yawezekana tungekua shamban tunalima...

Unafkr kuish kwenye maghorofa ndo tumefanya sehem salama...?

Leo hii USA ama Russia wakiamua within 1min. Dunia yote inapotea.. Je hyo ndo sehem salama uliyoitaka..

Check magonjwa yaliyotengenezwa na wanadam, mfano HIV, malaria,kansa, kisukar,na mengneyo meng...

Check moving objects znavyonyonga watu.. Magar,ndege,tren, pkpk na n.k

Check Taft znavyopoteza watu..aisee if u think positively u will see how the world is crazy...

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
Big up Mshana jr umenipa darasa. Sasa ninajua kwanini vitani mpiganaji akiona no way karibu anatekwa huamua kujiua. Hata asipojiua yeye. wapiganaji wa upande wake watamuua ili asijeteswa akatoa siri za upande wake
 
Inahitaji roho ngumu sana kuweza kuhimili mateso na ugome kabisa kuongea mbele ya watesi want... Unaweza kuvumilia kwa siku mbili tatu lakini ya nne lazima ufunguke...
Mateso mengine huwezi jua kama ni mateso
Kunyimwa usingizi..utavumilia kwa saa zisizozidi 72, yani kila ukitaka tu kulala wanakufanyia jambo litakalokata usingizi wote
Kuna aina nyingi za mateso na kuna wataalam
Ndio maana Majasusi wengi lazima wapitie mafunzo ya kuhimili mateso
 
Kweli kabisa kuna aina nyingi ya mateso ila vitisho na mateso ya moja kwa moja macho kW macho hutia hofu zaidi likifwatiwa na onyo Kali na bora kupetezwa MTU muhusika kuliko kuchukuliwa kutekwa na kuuliwa ndugu zako
 
sasa kama anajua na haja usika..... i mean akushirikishwa wataka aongee nini kwa harakaa haraka..... muacheni bhnaaaa yeye sio taira kukaaa kimnyaaa
 
sasa kama anajua na haja usika..... i mean akushirikishwa wataka aongee nini kwa harakaa haraka..... muacheni bhnaaaa yeye sio taira kukaaa kimnyaaa
 
Hutishwi! Unalazimishwa kusema.
Ikiwa utatishwa,shukuru mungu wako sababu anakupenda sana.

Hivi,ukifinywa pumb.u na plaiz hutaongea?

Ukichomekwa sindando kwenye kucha ikazama yote hutaongea?

Ukipitishiwa mshale wa kibiriti unao waka kwenye kichwa cha mbo.o hutaongea?

Ukikatwa kidole kimoja kimoja utakaa kimya?

Weweeeeeee
muache maana anajifanya roboti wakati akikanyaga mwiba anaruka
 
Hayo mateso ni makali mno na afadhali wakumalize kabisaa mara moja kuliko mateso ya hivyo...

Pamoja na kuumizwa na kuvurugwa kisaikolojia lakini wengi picha tumelielewa kabla hata hajaongea na waandishi na tulijua hawezi ongea la maana ile ilikuwa danganya toto tuu!!!!
Wakikumaliza kabsa inakua sio mateso inakua ni mauaji,,ila hii ni kukutesa ili uteseke
 
Ukiwa ni mtu usiye na falsafa ni hatari sana katika ulimwengu wa kiroho, ni rahisi kuikosa ata mbingu sababu tu ya kukosa falsafa yako.

Kuikana nafsi yako kwa kuutetea uhai wako ni sawa na kumkana Mungu, chukua mfano wa Yesu Kristo na watakatifu wote duniani (kwa kanisa katoliki).

Ukisoma historia ya wafia dini, wengi walikuwa imara katika kulinda imani yao(falsafa) yao hadi kufa.

Kwangu binafsi mtu anayesema eti nitatishiwa kwa mateso nisiseme kitu kwangu ni uongo mkubwa sana, siwezi kufanya upuuzi lazima niseme kila kitu.

Acha porojo jomba.

ungekuwa hivyo unavyosema ungeanza kuja na utambulisho wako halisi humu JF.
 
Hakuna mateso magumu kama waliyopitia mama zetu kutubeba tumboni miezi tisa, haya mengine ni mambo za kawaida tu we utaogopaje kuteswa? Hivi kipengele cha uvumilivu nyie hakiwahusu? Afadhali ufe kuliko kuishi kama mtumwa. Yani mshana na story za kiganga zile bado waogopa kuteswa?
Ushujaa sio kubeba mimba maana ni asili ya mwanamke kuzaa,,ila hapa unaharibia kila idara ya mwili,hisia na cchte kile.. Angalia we mwenyewe kujipiga pcha ya utupu tu simu ikikupotea unachanganyikiwa,,sasa hapa unalegezwa kila kiungo,,unalawitiwa na kurekodiwa halafu mkanda wa rekod hyo wanao wao,,unaingiziwa chakula kwa njia ya tigo,unawekwa kwenye chumba cha giza ambacho usiku au mchana haujulikani na umefungwa miguu na mikono unakula kama mbwa,huku kucha zinatolewa kila siku moja moja,au chumba maji yanakufika mdomoni,,we acha kabsa suala la mimba,,mimba ukizaa tu uchungu wote kwishaaa,,umeshaona mama anaezaa anaomba kuuliwa afie mbali,,lakin kwenye chumba cha mateso utatamani uuliwe.. Ogopa sana kuuliwa taratibu huku ukishuhudia unavyouliwa. Ndio maana wanazaa hata watto kumi na tatu na wanafurahia
 
Samahani wajameni natoka nje ya mada.. Hivi huyu baba mwenye nyumba anafuata dhehebu gani? maana namuona kwenye makanisa tofauti
 
Back
Top Bottom