Recent content by mtaalamu123

  1. mtaalamu123

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mungu mwema sana wadau, Mimi pia nimebahatika pdf la TARI....katika waliokua in a very bad place ni mimi. Niwaombee Pia mnaosubiri Neema yake Mungu iwashukie 🙏🏾
  2. mtaalamu123

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hicho kimulimuli huwa kinazima automatic baada ya siku saba kaka, mfano hilo tangazo la REA litazima tar 23 usiku
  3. mtaalamu123

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    TANGAZO LA KUITWA KAZINI NPS & WIZARA YA KILIMO 20-02-2023 Wahusika mkeka umetema mda si mrefu
  4. mtaalamu123

    Hadi bajeti ya Tanzania, Uganda na Rwanda ziunganishwe ndio zifikie ya Kenya

    its over.....there is no catching up on Kenya!
  5. mtaalamu123

    Je, ni HAKI ya mtoto wa Rais kuishi Ikulu ndogo Chamwino ilhali chuoni kuna nafasi ya kukaa?

    Mtoa mada na uzi wake ni kielelezo tosha ni jinsi gani Tanzania tuko nyuma katika kujikwamua na ujinga uliokithiri, si ajabu mtoa mada ni mwanachuo na yuko timamu kabisa wakati anaandika huu upuuzi!
  6. mtaalamu123

    Je, ni HAKI ya mtoto wa Rais kuishi Ikulu ndogo Chamwino ilhali chuoni kuna nafasi ya kukaa?

    Mantiki yako hapa sijaielewa, je ni jambo geni kwako kuwa raisi na familia yake wanahudumiwa na serikali kuanzia chakula, malazi na usafiri? asipokaa mtoto wa rais ikulu unataka akae nani sasa, mdogo wako? kukaa ikulu wewe kubaki campus kunakuuma kivipi, si haki familia ya rais kukaa ikulu...
  7. mtaalamu123

    Madiwani Ilala wampinga Mkurugenzi juu ya machinga

    Huku kutetea upuuzi kwa sababu za kisiasa kutaisha lini? wanachojali hapa ni kuonekana wanatetea raia kumbe wasijue maisha bora ni pamoja na kuishi kwa mpangilio, au labda tumekuwa watu wa ovyo kiasi kwamba ishu za usafi, kufuata utaratibu na mpangilio wa maeneo sio muhimu tena...
  8. mtaalamu123

    Madiwani Ilala wampinga Mkurugenzi juu ya machinga

    Barabara ni za wananchi kwa ajili ya kupita na sio biashara, utalia chakula chooni kisa ni chako....badilika na anza kufikiri kama mtu anayejielewa la sivyo hii nchi itaenda mbele na wengi wenu mtabaki nyuma!
  9. mtaalamu123

    Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

    Hizi bangi na unga wa kina chidi benz sio mchezo, movie bado inaendelea, tutaskia mengi sana huu ni mwanzo tu!
  10. mtaalamu123

    Rais Magufuli kutembelea Arusha kwa njia ya barabara akitokea Dodoma

    Ni sahihi ulifeli kiswahili, katika lugha ya kiswahili neno 'njia' pia lina maana ya 'by means '....wewe umekariri ile ya 'barabara nyembamba'....rudi darasani!
  11. mtaalamu123

    Wanachokifanya Polisi Kituo cha Kigamboni ni Udhalilishaji kwa Wanawake

    Hivi kumbe kahaba kuwa uchi ni uzalilishaji, nikajua wanapenda, kuonesha miili yao ni sehemu ya kazi
  12. mtaalamu123

    Neema kwa wafanyakazi yatangazwa na Rais Magufuli

    Kwaiyo ni bora ingebaki hiyo hiyo 11% ama vipi, maana hilo punguzo limekukera kweli!
  13. mtaalamu123

    Tanganyika hatuji kupata Rais bora kama Kikwete

    Msimamo mkali wa dini unamsumbua mtoa maada, trust me haoni hasikii hapo alipo!
  14. mtaalamu123

    Wabongo zaidi ya uwajuavyo!

    Nchi hii tumezidi upole, sasa huu ni ujinga na chi nzima inaingia gharama kwa upuuzi wa wachache (japo nahisi wabongo wengi naturally ni wachafu ), huwezi kuwa na mji safi kama hakuna bylaws za kusimamia usafi, tupa taka unapigwa fine kuanzia elfu hamsini kuendelea, huna tunakuweka ndani.....Mr...
Back
Top Bottom